Swali la jumatatu...linahitaji majibu!

Uko sawa mkuu ila kwa jf watu hawapendi id zao zijulikane kwa wengine. Kwenye JF tena itanoga zaidi endapo mtakuwa hamjaambiana majina yenu mnayotumia.
 
Uko sawa mkuu ila kwa jf watu hawapendi id zao zijulikane kwa wengine. Kwenye JF tena itanoga zaidi endapo mtakuwa hamjaambiana majina yenu mnayotumia.

wajua shida ni malengo..kuna wanaotumia majukwaa haya au blogs,kuapproach... Ama baadhi ya wadada mfano faceb... nako wanaweka nicknames,na wako kibusiness zaidi...
 
Uko sawa mkuu ila kwa jf watu hawapendi id zao zijulikane kwa wengine. Kwenye JF tena itanoga zaidi endapo mtakuwa hamjaambiana majina yenu mnayotumia.

Mi naona inanoga zaidi mkiwa mnajuana (kwa wale ambao sio wanafiki that is. . . )kwasababu mnapata hata sehemu ya kutaniana na kuchokozana alafu mengine mnamalizia nyumbani.
 
Mi naona inanoga zaidi mkiwa mnajuana (kwa wale ambao sio wanafiki that is. . . )kwasababu mnapata hata sehemu ya kutaniana na kuchokozana alafu mengine mnamalizia nyumbani.

umeona eeh...
 
Uko sawa mkuu ila kwa jf watu hawapendi id zao zijulikane kwa wengine. Kwenye JF tena itanoga zaidi endapo mtakuwa hamjaambiana majina yenu mnayotumia.
Halafu mkicharurana humu...then siku mkaja kujua kuwe ndo nyie itakuwaje?
Mana kuna wakati kuna watu huwa wanacharuka humu..!
 
wajua shida ni malengo..kuna wanaotumia majukwaa haya au blogs,kuapproach... Ama baadhi ya wadada mfano faceb... nako wanaweka nicknames,na wako kibusiness zaidi...
what i ukaja ukamtongoza mkeo/mmeo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…