Yeah nilitaka kusahau ulishindwa hadi kula... Baada ya kukubembeleza sana kwa vitendo ndiyo ukaanza kula...Hapana chezea aisee hata nguvu ya kula kwishaaaa hahahaah
Dawa yako inachemka Wee ngoja tu
Huwezi nfanyia vile mtoto wa mwanaume mwenzio
Wee unadhani ulofanya mazuri???? 😀😛Yeah nilitaka kusahau ulishindwa hadi kula... Baada ya kukubembeleza sana kwa vitendo ndiyo ukaanza kula...
Mambo mengine hutokeaga tu...😛😛😛😀
Wee unadhani ulofanya mazuri???? 😀😛
Mambo si mamboMambo mengine hutokeaga tu...
Hahaha... Una roho ndogo sana... Kidogo tu vile....Mambo si mambo
Ukataka ua mtu ijumaa dah una roho ngumuuu sijawahi ona
Hata mimi si ni mdogo jamani au! Mdogo na madogoHahaha... Una roho ndogo sana... Kidogo tu vile....
Kuwa mdogo ni mdogo kweli... Ila mmh... Mmh... Mmh...Hata mimi si ni mdogo jamani au! Mdogo na madogo
Mkubwa makubwa
Mbona unagugumiaKuwa mdogo ni mdogo kweli... Ila mmh... Mmh... Mmh...
# Wacha nifunge domo langu #
Siwezi sema... Ulishasema nisiseme kabisa....Mbona unagugumia
Nini shida
Sema usikike
[emoji16][emoji16]Mbona unagugumia
Nini shida
Sema usikike
All i can say is... Hongera umebarikiwa...Mbona unagugumia
Nini shida
Sema usikike
Hapana mimi nambie ila kwa kuku wengi ndo usimwage mcheleSiwezi sema... Ulishasema nisiseme kabisa....
Acha acha acha acha acha acha acha acha kabisa hapo UnaharibuuuuuAll i can say is... Hongera umebarikiwa...
Acha acha acha acha acha acha acha acha kabisa hapo UnaharibuuuuuAll i can say is... Hongera umebarikiwa...
Wewe of course i tell you... Kama ishakuwa ndiyo vile... U know vile... I mean vile.. Vile vile... Hakuna cha kufichana...Hapana mimi nambie ila kwa kuku wengi ndo usimwage mchele
Mi huwa nakula ndizi mapacha kwa kuamini kuwa mwanamke wangu nkimpa mimba atazaa mapacha [emoji23][emoji23][emoji23]
[HASHTAG]#SijuiNimekulaMaharageYaWapiLeo[/HASHTAG]
Halafu hii tabia tangu nikiwa mdogo yaani..kila nkiona ndizi zilizoshikana lazima nizing'ang'anie ili nizile....Huenda Labda imani yangu itaniponya...Mungu atajalia nitapata twinsAhahahahahahah, labda ukiamini sana itakuwa kweli. Faith can move mountains. 🙂
Halafu hii tabia tangu nikiwa mdogo yaani..kila nkiona ndizi zilizoshikana lazima nizing'ang'anie ili nizile....Huenda Labda imani yangu itaniponya...Mungu atajalia nitapata twins
No !That is more than obvious
Yeah siri ya watu wawili they sayWewe of course i tell you... Kama ishakuwa ndiyo vile... U know vile... I mean vile.. Vile vile... Hakuna cha kufichana...
Kesho si Jumapili usijali i will tell you all...
Siwezi mwaga mchele kwenye kuku wengi... Hii itabakia between you and me... Strictly confidential...