Amiliki
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,085
- 1,005
Ndugu wanabodi,
Kwa uelewa wangu, sheria ya Uhujumu Uchumi nchini inamnyima dhamana mtu "yeyote" aliyeshitakiwa mahakamani kwa kosa hilo. Lakini jambo la ajabu nilaloendelea kulishuhudia ni kwamba hata baada ya mashtaka ya akina Idd Simba kurekebishwa na kuangukia kwenye makosa ya Uhujumu uchumi bado wameendelea kuwa nje kwa dhamana. Je hii sheria ya Uhujumu Uchumi ilishabadilishwa? Kama la, je nchi hii sheria moja huwa inatumika tofauti kwa watu wawili tofauti?
Nawakaribisha wenye uelewa na si watu wanaokuja kutetea kwa misingi ya kabila au dini ya mtu.
Kwa uelewa wangu, sheria ya Uhujumu Uchumi nchini inamnyima dhamana mtu "yeyote" aliyeshitakiwa mahakamani kwa kosa hilo. Lakini jambo la ajabu nilaloendelea kulishuhudia ni kwamba hata baada ya mashtaka ya akina Idd Simba kurekebishwa na kuangukia kwenye makosa ya Uhujumu uchumi bado wameendelea kuwa nje kwa dhamana. Je hii sheria ya Uhujumu Uchumi ilishabadilishwa? Kama la, je nchi hii sheria moja huwa inatumika tofauti kwa watu wawili tofauti?
Nawakaribisha wenye uelewa na si watu wanaokuja kutetea kwa misingi ya kabila au dini ya mtu.