Swali la kizalendo: Mabeberu ni kina nani?

Ukiuangalia uchumi Wa dunia ulivyo jipanga Kuwaita waliojipanga vizuri ni mabeberu ni kukosa adabu Mimi naona ccm labda kwa kuwa inajifanya kidume huku kitaa chukua Siku moja unaenda kuiamsha ccm chumbani kwake Mara ghafla unakuta li mwafilombe linatoka limevaa taulo na ccm inatoka imevaa khanga lazima ukiiuluza huyu nani itatoa machozi na kusema huyu ni beberu wakati ni mwafilombe aliyejipanga vizuri hapa kitaa
 
Muulize jiwe
 
kahstori intyu 1983 amin ugandala boroko mutu 567 , intyu 1882 mabutyu boroko mutu 8654 , jukuyy murusu kuruka abeya simbawanga akuku msungule cheee.
 
Mabeberu ni neno linatumiwa na wanasiasa ili kulaghai wananchi ambao uelewa wao wa dunia ni mdogo. Wanasiasa wanao tumia neno wanasema kwa midomo tu ila mioyoni mwao wanajua kwamba siyo kweli.
Uko sahihi kabisa. Watawala wadhalimu kwanza huwaaminisha wananchi wao kuwa ni 'wanyonge'. Kisha uwapiga deki ya ubongo kuwa adui wao mkuu ni 'mabeberu'. Baada ya hapo huwaswaga kama 'makondoo' kwa namna wanavyojisikia. Unaweza kuwakusanya uwanja wa taifa ili waburudishwe na wasanii wa bongonjaa kuonesha unavyowapenda sana. Hayati mzee Mugabe ndivyo alivyowanyanyasa Wazimbabwe akiwaaminisha adui yao mkubwa ni mzungu, wakati adui wao mkuu alikuwa yeye. Alipoaga dunia, Wazimbabwe walimiminika mitaani kusherehekea!!!!
 

Hahahaaa yeyote anayempinga Magu ni beberu au anatumika na beberu. Una swali lingine? Haha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…