nyamatala.
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 266
- 134
Yule ziro mbona alimaliza miaka kumi kulikua na shida gani ? na kama zero in janga kwa nini na yenyewe iitwe division hoja ipo hapa hakuna mwenye division zero anaetembea uchi huyu nae asome chuo.
Hapo tatizo liko wapi? Fursa sawa iwe kwa wote. Kupata ziro siyo mwisho wa dunia. Ni siyo?