Swali la kizushi; Kwa nini umtendee mwenzako mabaya?

Swali la kizushi; Kwa nini umtendee mwenzako mabaya?

Mzee uchawi hauna sura, siku hizi hata vijana wanayo hayo mambo! Ukimkuta nje yuko smart kachomekea huwezi amini! Ila kwenye anga zake ni gwiji kuliko Chriss Katembo kwenye fani yake ya uchoraji!

Kuna jamaa tulienda nae semina miaka ya nyuma. Kwa bahati mbaya alikula samaki ambae hakujua ana allergy nae, kupelekea kushindwa kuhema. Katika jaribio la kutoa huduma ya kwanza, watu wakamfungua vifungo vya shati na kumvua viatu; ndio kukuta bonge la hirizi jeusi kwenye socks. Alipopata nafuu na seminar yenyewe hakuitaka tena.
 
Hizi kazi za kua jiliwa ni ushirkina mtupu tena wewe una bahati rafiki yangu baada ya kupandishwa cheo alibadilisha na hao hao co-workers akawa anawika kama jogo kila baada ya lisaa, alishauliwa ache kazi, paka leo iko nyumbani..........pesa sio kitu bora afya na amani
Tena hasa kazi binafsi ndo maana walimu na askari wanaishi miaka mingi mpaka kustaafu kule hakuna tamaa ya hela ila hzo sekta nyingine kuna mauza mauza sana.
 
Back
Top Bottom