Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sioni ufisadi wao maana hawako kwenye system. UmewasingiziaYale mafisadi yapo humu uzi wao pendwa ni kula kimasaara
Usiwachukulie sirias hao wanafanya siasa za tumbo na mama amewaambia hewala lamben tu achali
Una uhakika?Nikisema hawako humu namaanisha by their true identity. Wanaweza kuwepo kwa fake IDs, but to me , it is most unlikely kuwa wapo kwa fake IDs.
Humu kuna viongozi 90% mpaka kibajaji yupo, ila wanapita shwaaa shwaaaa, imeishaaa hiyoUna uhakika?
Wapo humu wote wao wenyeweTunaweza sema wapo humu?, na wasaidizi wao wamo humu, vibaraka wao wako humu.
Utawajua tu kwa mihasira yao na majibu yao humu? Yaani jinsi wanavyohubiri mitaani ndivyo wanavyohubiri humu.
Hawana uthubutu huo!
Wewe unafikiri hawapo?Nikisema hawako humu namaanisha by their true identity. Wanaweza kuwepo kwa fake IDs, but to me , it is most unlikely kuwa wapo kwa fake IDs.
Wapo humu wote wao wenyewe
hii ni media gani? JF? No, ukisearch huoni