Swali la kizushi:Mwanafunzi anapata B nne na A moja- anapewa daraja A STD 7?Hii kali........

Swali la kizushi:Mwanafunzi anapata B nne na A moja- anapewa daraja A STD 7?Hii kali........

Ulimakafu

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2011
Posts
31,248
Reaction score
13,244
Jamani nashangazwa na jinsi wanavyopangilia majaraja ya darsa la 7 2013,mfano mwanafunzi anapata A moja au mbili na zingine B anawekewa daraja A,hii ni kichekesho.Sijui wametumia kigezo ana kupanga hizo alama............
 
Jamani nashangazwa na jinsi wanavyopangilia majaraja ya darsa la 7 2013,mfano mwanafunzi anapata A moja au mbili na zingine B anawekewa daraja A,hii ni kichekesho.Sijui wametumia kigezo ana kupanga hizo alama............

We ndio kichekesho sasa!!! Tuache kuwa negative kwa kila kitu, hebu kokotoa hii heasbu halafu uniambie wamekosea wapi!

Kama A = 81-100%
B = 61-80%

1. Hesabu 92 = A, Kiswahili 80 = B, Kiingereza 80 = B, Science 80 = B na Maarifa 78 = B
2. Hesabu 76 = B, Kiswahili 96 = A, Kiingereza 78 = B, Science 78 = B na Maarifa 78 = B

Kokotoa halafu urudi hapa kuomba msamaha.
 
Jamani nashangazwa na jinsi wanavyopangilia majaraja ya darsa la 7 2013,mfano mwanafunzi anapata A moja au mbili na zingine B anawekewa daraja A,hii ni kichekesho.Sijui wametumia kigezo ana kupanga hizo alama............

kaka inawezekana kabisa hata dogo wangu ana wastani a
 
We ndio kichekesho sasa!!! Tuache kuwa negative kwa kila kitu, hebu kokotoa hii heasbu halafu uniambie wamekosea wapi!

Kama A = 81-100%
B = 61-80%

1. Hesabu 92 = A, Kiswahili 80 = B, Kiingereza 80 = B, Science 80 = B na Maarifa 78 = B
2. Hesabu 76 = B, Kiswahili 96 = A, Kiingereza 78 = B, Science 78 = B na Maarifa 78 = B

Kokotoa halafu urudi hapa kuomba msamaha.

Hhahahahaha, Kanigini umeua Mkuu, safi kabisa watu wanakuja kuleta mambo ambayo hata hawajatafakari kidogo. Yaani hapo inategemea umepata A ya ngapi na B ya ngapi...This is JF the home of Great Thinkers
 
Jamani nashangazwa na jinsi wanavyopangilia majaraja ya darsa la 7 2013,mfano mwanafunzi anapata A moja au mbili na zingine B anawekewa daraja A,hii ni kichekesho.Sijui wametumia kigezo ana kupanga hizo alama............

Utakuwa kilaza wa hesabu!
 
Watanganyika wivu wa kike unatupeleka kubaya. Madogo wakifeli - majungu, wakipasua - majungu! Vibaya hivyo! Mtu kama unaona wawefaidika na mfumo huo, si rudi Darasa la Saba ili na wewe upate dDaraja A?
 
Watanganyika wivu wa kike unatupeleka kubaya. Madogo wakifeli - majungu, wakipasua - majungu! Vibaya hivyo! Mtu kama unaona wawefaidika na mfumo huo, si rudi Darasa la Saba ili na wewe upate dDaraja A?

Asante mkuu umenena ukweli
 
We ndio kichekesho sasa!!! Tuache kuwa negative kwa kila kitu, hebu kokotoa hii heasbu halafu uniambie wamekosea wapi!

Kama A = 81-100%
B = 61-80%

1. Hesabu 92 = A, Kiswahili 80 = B, Kiingereza 80 = B, Science 80 = B na Maarifa 78 = B
2. Hesabu 76 = B, Kiswahili 96 = A, Kiingereza 78 = B, Science 78 = B na Maarifa 78 = B

Kokotoa halafu urudi hapa kuomba msamaha.

well said mkuu nadhani jamaa ni Ngwine,hesabu kwake majanga.hajui hapo ukitafuta average inakuja A
 
We ndio kichekesho sasa!!! Tuache kuwa negative kwa kila kitu, hebu kokotoa hii heasbu halafu uniambie wamekosea wapi!

Kama A = 81-100%
B = 61-80%

1. Hesabu 92 = A, Kiswahili 80 = B, Kiingereza 80 = B, Science 80 = B na Maarifa 78 = B
2. Hesabu 76 = B, Kiswahili 96 = A, Kiingereza 78 = B, Science 78 = B na Maarifa 78 = B

Kokotoa halafu urudi hapa kuomba msamaha.

Mkuu jamaa kashaelewa nadhani hakufikiria zaidi but hapa ndo nyumbani kwa great thinkers.
 
We ndio kichekesho sasa!!! Tuache kuwa negative kwa kila kitu, hebu kokotoa hii heasbu halafu uniambie wamekosea wapi!

Kama A = 81-100%
B = 61-80%

1. Hesabu 92 = A, Kiswahili 80 = B, Kiingereza 80 = B, Science 80 = B na Maarifa 78 = B
2. Hesabu 76 = B, Kiswahili 96 = A, Kiingereza 78 = B, Science 78 = B na Maarifa 78 = B

Kokotoa halafu urudi hapa kuomba msamaha.

great thinker.!
 
Jamani nashangazwa na jinsi wanavyopangilia majaraja ya darsa la 7 2013,mfano mwanafunzi anapata A moja au mbili na zingine B anawekewa daraja A,hii ni kichekesho.Sijui wametumia kigezo ana kupanga hizo alama............
great sinker..!
 
We ndio kichekesho sasa!!! Tuache kuwa negative kwa kila kitu, hebu kokotoa hii heasbu halafu uniambie wamekosea wapi!

Kama A = 81-100%
B = 61-80%

1. Hesabu 92 = A, Kiswahili 80 = B, Kiingereza 80 = B, Science 80 = B na Maarifa 78 = B
2. Hesabu 76 = B, Kiswahili 96 = A, Kiingereza 78 = B, Science 78 = B na Maarifa 78 = B

Kokotoa halafu urudi hapa kuomba msamaha.

atawezaje kukokotoa wakati Magazijuto zenyewe haziwezi! hawezi kurudi tena, ngoja tumsubiri
 
We ndio kichekesho sasa!!! Tuache kuwa negative kwa kila kitu, hebu kokotoa hii heasbu halafu uniambie wamekosea wapi!

Kama A = 81-100%
B = 61-80%

1. Hesabu 92 = A, Kiswahili 80 = B, Kiingereza 80 = B, Science 80 = B na Maarifa 78 = B
2. Hesabu 76 = B, Kiswahili 96 = A, Kiingereza 78 = B, Science 78 = B na Maarifa 78 = B

Kokotoa halafu urudi hapa kuomba msamaha.
Kwa kigezo cha wastani ni sawa,lakini kama wangetumia mfumo wa GPA isingekuwa hivyo,naamini kwa utaratibu huo waliotumia hawaitendei haki 'A'
 
Usijali kama ulisomea kayumba hutaenda shule ya kata lakini kama ulisomea English Medium hata kama una A kata inakuhusu

Hivi kwanini wanafanya hivyo? Wanakomoa au?
 
Back
Top Bottom