Ukiwa form five shule ya serikali halafu uache shule mwaka mzima. Ukirudi shule utaendelea na form six, utarudia form five au utakuta wameshakufukuza shule? Na ukiacha shule halafu baadae ukiwa na miaka 18 ukiamua kurudia la saba unakubaliwa kisheria hukubaliwi?