Swali la kizushi........

Hii si hatari?Lakini mi naona hawakumtendea haki kwa sababu alikuwa na ndoa,au hakuwa na makaratasi?
 

DUh! We kiboko!
 
Yaani Mkuu umeanza kugonga toka uko praimari,du,we mkali!
 
Bishanga (abashaija)!

Hivi unamfahamu yule mwanasiasa mkongwe (jirani yako kule Ziwa Magharibi) hapa Bongo aliyefanya kazi na Mwalimu Nyerere alioa mtu na mdogo wake?
Naam naam naam ,tena wa maeneo ya kwetu,hahahahahahahahahaha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…