Swali la kizushi:

Swali la kizushi:

Mkogoti

TAPELI Mkubwa
Joined
May 3, 2020
Posts
2,415
Reaction score
3,924
Eti kwa mfano Umekwenda Dukani Na elfu Kumi! Kununua Sumu ili Ujiue! Kuna haja ya kusubiri chechi!!! ebu tiririka hapo chini maoni yako!
 
Unaweza kutumia huko unapoelekea baada ya kujinyonga kwanini uache.
 
Sasa hapo ni siku hiyo hiyo sisi hatutaki week hiyo chenchi itakuwa sadaka kwa mwenye duka
 
Mi ntachukua chenchi yangu nikibadilisha mawazo si naenda kununua maziwa😅
 
Back
Top Bottom