Swali la kufikirisha: Hivi mwanaume unaweza kumgundua mke/girlfriend wako kuwa hapa ametoka kufanya mapenzi na mtu mwingine?

ndugu lazima ujue kama ni kitu yako umeizoea ikiingia nyingine lazima kunakuwa kama na kiutofauti flani hivi yaani kukielezea kiukweli inakua ngumu ila lazima ujue na ndio maana mademu wanakutanguliza wewe afu anaenda kucheouka
Hiyo kucheuka unaoizungumzia sijui ni ipi. Maana isje ikawa zile za kimalaya umeenda na mtu guest bubu huyooo anaingia kwanza bafuni anajisafishaaaa then anaku join. Hii yaweza pia itea kujicheulisha. Usafi muhim lkn inaboa hii.
 
Huyo mwanamke fala kiasi hiko cha kuchutama avutishwe ugoro unaamtoa wapi kwa zama hizi?
 
Unaweka tu kitu pwachaaaa alafu mkeo Au demu wako hujamla miezi miwili au mitatu. Mm hapo hapo bolo linanywea nafuta namba kabisa tusijuane. Ndio maana sitaki kuoa maana mabinti wasikuhizi kabla ya ndoa wanaliwa weee mitaani, ukimweka ndani tu siku ukatoka anaipeleka kwa jamaa zake wakamsugue.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Aiseeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…