dogo dogo wanaanzia miaka mingapi.We mzee mwenzangu umezeeka bwana, napenda dogo dogo
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Ice cream utakuta anajilamba huyo hana hata wasiwasi na kitambi juuWanaume wa dar hawajivungi wanakula ubuyu kuliko hata visichana vya primary
Babu hujamboNikajua ushahamia Dar...
Maana Dar hakunaga wazee...
mle lakini kwa kujificha sipati picha mkaka na pakti la ubuyu kwenye bus uwiiiiWadau poleni kwa msiba
Nazungumzia ubuyu unaotumiwa kama tunda au chakula ukipendwa zaidi na wamama na ukiwa na rangi tofauti tofauti maarufu zaidi rangi nyekundu.
Ninapenda jua kama ni sahihi kwa mtu mwanamume kula ubuyu?
Karibuni kwa ushauri.
Sijambo mpendwa... kwanini uliamua kunitosa hivyo?Babu hujambo
Basi baki hukohuko Kolomije na Bashite wako
Daa mie sijambo namshukuru MUNGU mwaka mpya tupo naoSijambo mpendwa... kwanini uliamua kunitosa hivyo?
Heri ya mwaka mpya mjukuu mpenzi
Hata kunichungulia PM wakati bibi kasafiri umeshindwa?Daa mie sijambo namshukuru MUNGU mwaka mpya tupo nao
Sijakutosa babu tatizo Bibi anakufungia sana
Haaa haaa sitakusahau tena nitakuwa namvizia Bibi akikapua tu ukope nami nakupa hi!Hata kunichungulia PM wakati bibi kasafiri umeshindwa?
Acha zako bhana
Fanya hima basi. Sasa hivi hayupo..Haaa haaa sitakusahau tena nitakuwa namvizia Bibi akikapua tu ukope nami nakupa hi!
hata mbeya hapa tunakula,Zanzibar unaliwa tu na mijidume
kwenye basi tunakaa na karangamle lakini kwa kujificha sipati picha mkaka na pakti la ubuyu kwenye bus uwiiii
hv unajua unapokuwa unukula/unamung'unya ubuyu n kama unakuwa unanyonya kWadau poleni kwa msiba
Nazungumzia ubuyu unaotumiwa kama tunda au chakula ukipendwa zaidi na wamama na ukiwa na rangi tofauti tofauti maarufu zaidi rangi nyekundu.
Ninapenda jua kama ni sahihi kwa mtu mwanamume kula ubuyu?
Karibuni kwa ushauri.
usinichekeshe mimiYani unacheka prezidaa wetu kula ndizi mbivu? Shauri zako...
Mwishowe utacheka Makamu wa Rais akila donati...
Kemea shetani we mrembo... ohoo
[emoji3][emoji3][emoji3] mie nipo chato, karibuuuBasi baki hukohuko Kolomije na Bashite wako