Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,326
- 4,785
Hapa kuna mantik! Kama mf. Wanatoka kusi kwenda kaskazi huku wanalia na wanakimbia ! Yawezekana Kusi kuna tatizo na kaskazi wendako kuna wokovu. Aidha yawezakua watokako ndiyo wameacha wokovu na wanakimbia kwenda kwenye balaa (ndiyo mana wanalia) bila hiyari yao! Wanakimbizwa. Solution hukurupuki mpaka uende na dira.