Sijui hili kama ni utani ama la!
Nasikia kabila la Wanyakyusa wa huko Mbeya huwa mwanamke akisikia msiba mahali anaanza kwa kulia na kugaragara kwanza, labda kwa nusu saa hivi, kisha uchungu ukimpungua ndiyo anatulia na kuuliza.."Aliyefariki ni nani?"