Yes yupo, vipi ulitaka awe Nairobi au India?. PM kaeleza Mzee yuko fit na bukheri wa afya, yuko Ikulu yetu na akiendelea kuchapa kazi zake kama kawaida
P
Mkuu NewOrder , first thing first, tusiendelee kuzungumzia uvumi na uzushi, kama hakuna taarifa yoyote rasmi ya mgonjwa, na taarifa rasmi ni mtu yuko fit anapiga kazi, tuzungumzie taarifa rasmi tuu, tuachane na uvumi na uzushi.
P
Mkuu, pole kwa msiba huu mkubwa. Hata kuwa alikuwa mzima ilikuwa ni uzushi tu - ukweli (ambao haukuhitaji kutetewa kwa uongo ni kuwa alikuwa na tatizo la moyo). Mungu mwenye rehema aitunze roho ya marehemu.
Yes yupo, vipi ulitaka awe Nairobi au India?. PM kaeleza Mzee yuko fit na bukheri wa afya, yuko Ikulu yetu na akiendelea kuchapa kazi zake kama kawaida
P
Mkuu NewOrder , first thing first, tusiendelee kuzungumzia uvumi na uzushi, kama hakuna taarifa yoyote rasmi ya mgonjwa, na taarifa rasmi ni mtu yuko fit anapiga kazi, tuzungumzie taarifa rasmi tuu, tuachane na uvumi na uzushi.
P
Yes yupo, vipi ulitaka awe Nairobi au India?. PM kaeleza Mzee yuko fit na bukheri wa afya, yuko Ikulu yetu na akiendelea kuchapa kazi zake kama kawaida
P
Tunaomba Mungu Ampe Pumziko La Amani Rais Wetu Mpendwa
Lakini wakati haya yakiendelea tunaomba Daktari wake ; Katibu Mkuu kiongozi na genge lote la wasaidizi wa karibu wakiohusika hasa kwenye utoaji wa Taarifa wawekwe mahali watueleze ni nini kilikua kinaendelea
Kama Alilazwa Rasmi Tarehe 6/3 pamoja na kuwa kuna taarifa aliugua toka tarehe 3/3 na kabla ya tarehe 10/3 Alikua clinically Dead ; ni jambo Gani liliwafanya hadi kuficha habari za huu ugonjwa hadi kufikia viongozi wakuu kila mmoja anaongea lake ina maana ni kama “walimteka”rais na kudhibiti kila kitu pengine kwa manufaaa yao ; basi ni vema wawekwe mahali waseme vizuri !!!
walishasema kazi yao kuuu ni kupingapinga tu basi lakini nafikiri kuna haja ya kujitafakari sio kila kitu kuropokaropoka kuna issues nyingine ni too classified sio lazima Uzi disclose for political gain hii issue ni national matter against our enemy na wanatushangaa baadhi yetu kuwa upande wao
Mkuu Mr Dudumizi , I'd like to differ, sio kila ukweli ni lazima usemwe, ukweli mwingine ni ukweli mchungu wa hatari, ukisemwa badala ya kujenga, unabomoa!. Ukweli ambao ni lazima usemwe ni ule ukweli ambao ukisemwa utasaidia. Hivyo kabla ya kuusema ukweli wowote, unaufanyia objectivity test kwa kujiuliza, jee ukweli huu ukisemwa utasaidia?, utayajenga au utabomoa na kuharibu?. Je ukweli huo una maslahi kwa taifa au majanga?. Baada ya kupata majibu hayo, unajifanyia self censorship na kumua au kusema au kunyamaza na kupotezea!.
Wanabodi. Kama kawaida yangu, leo naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Mada ya leo ni swali la kitu kinachoitwa "morality": "Jee ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia?. Na tukija kwenye medani za siasa, kabla ya kuusema ukweli wowote tunaousikia, je ni lazima tuseme...
Huu ni uzi kuhusu Swali la Morality: Jee ni Lazima Kuusema Kila Ukweli Unaousikia?. Kwenye Medani za Siasa, Kabla ya Kuusema Ukweli Tunaousikia, Jee Tutangulize Mbele Maslahi ya Taifa Kwa Kujiuliza Kwanza, na Kuupima Kwanza Ukweli Huo Una Matokeo Gani, kwa Taifa Ndipo Tuuseme, au Tendelee na Hii Tabia ya Ukisikia Jambo Lolote, Wewe Liseme Tuu Bila Kujali Linamatokeo Gani as Long as Jambo Hilo ni la Ukweli?.
Kama kawaida yangu, leo naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Mada ya leo ni swali la kitu kinachoitwa "morality": "Jee ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia?.
Jee Wapinzani Kazi yao ni Kupinga Tuu Kila Kitu au Kukosoa Tuu Hakuna Kupongeza Hata kwa Mazuri?.
Japo kazi ya upinzani ni kupinga na kukosoa, lakini tunapokuja kwenye issues muhimu kwa maslahi ya taifa, maslahi yataifa ndio yanatangulizwa mbele, sisi sote kama Watanzania, we stand as one, tunakuwa kitu kimoja, tunakuwa watu wamoja, tunaweka mbembeni tofauti zetu za kisiasa, hakuna tena siasa za vyama, wala siasa za watu, tunaweka pembeni siasa, tunaitanguliza mbele Tanzania, kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa, we stand as one, na kila kitu kinafuatia baadae. ...
Jana kule jijini Brussels nchini Ubeligiji, Rais Samia amekutana na Tundu Lissu kwa mazungumzo yalliyodumu kwa takriban saa nzima. Taarifa rasmi ya Ikulu ikaeleza rais Samia amefanya mazungumzo na Lissu bila kuweka details wamezungumza nini, hivyo Tundu Lissu alipaswa to replicate by doing the same. Kwanini Lissu ameropoka mazungumzo ya wawili hao?. Japo yote laliyozungumza ni kweli, why did Lissu had to reveal mambo waliongea na rais in confidence?. Alichofanya Lissu ni a breach of confidence, this shows this is not a man to be trusted!. Ni mropokaji mpaka basi!.
Mimi ni miongoni mwa tuliomchagiza Lissu agombee urais 2020, kuna sifa yake moja mimi nilisema kwa Lissu ni zaidi ya JPM
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali tuu, Ili uchaguzi wa 2020 usiwe ni igizo tuu la uchaguzi, Je tumchagize na kushinikiza Tundu Lissu ndiye asimamishwe na upinzani kumkabili John P. Magufuli? kwa sababu mpaka sasa, Tundu Lissu ndie mwanasiasa pekee wa upinzani ambaye so far, ameonyesha ana...
www.jamiiforums.com
Sikumalizia ni kwenye nini, nilikuwa na maana yangu.
Nikadhani kwa vile sasa huyu mtu almeishi ulaya, atakuwa amestaarabika...kumbe wapi!.
Sio lazima kusema kila kitu!. kiukweli Lissu akijirekebisa hii tabia ya uropokaji na kui control, 2030 he can make a very serious contender kwenye urais.
P
Jana kule jijini Brussels nchini Ubeligiji, Rais Samia amekutana na Tundu Lissu kwa mazungumzo yalliyodumu kwa takriban saa nzima. Taarifa rasmi ya Ikulu ikaeleza rais Samia amefanya mazungumzo na Lissu bila kuweka details wamezungumza nini, hivyo Tundu Lissu alipaswa to replicate by doing the same. Kwanini Lissu ameropoka mazungumzo ya wawili hao?. Japo yote laliyozungumza ni kweli, why did Lissu had to reveal mambo waliongea na rais in confidence?. Alichofanya Lissu ni a breach of confidence, this shows this is not a man to be trusted!. Ni mropokaji mpaka basi!.
Mimi ni miongoni mwa tuliomchagiza Lissu agombee urais 2020, kuna sifa yake moja mimi nilisema kwa Lissu ni zaidi ya JPM
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali tuu, Ili uchaguzi wa 2020 usiwe ni igizo tuu la uchaguzi, Je tumchagize na kushinikiza Tundu Lissu ndiye asimamishwe na upinzani kumkabili John P. Magufuli? kwa sababu mpaka sasa, Tundu Lissu ndie mwanasiasa pekee wa upinzani ambaye so far, ameonyesha ana...
www.jamiiforums.com
Sikumalizia ni kwenye nini, nilikuwa na maana yangu.
Nikadhani kwa vile sasa huyu mtu almeishi ulaya, atakuwa amestaarabika...kumbe wapi!.
Sio lazima kusema kila kitu!. kiukweli Lissu akijirekebisa hii tabia ya uropokaji na kui control, 2030 he can make a very serious contender kwenye urais.
P
Hatuna haja na thread zako za kinafiki unazoungaunga kutafuta huruma ya wanaJF. Ulitaka asitoe tips za alichoongea ili Leo muanze kutoa ya kwenu vichwani? Amesema tu mmeanza kubadilisha eti kaomba msamaha, aaingesema si ndo mngeongeza uzushi juu ya uzishi?
LISSU anawajua vizuri CCM ukiwemo wewe Ndumilakuwili mgomvi wa Ndugai.
Jana kule jijini Brussels nchini Ubeligiji, Rais Samia amekutana na Tundu Lissu kwa mazungumzo yalliyodumu kwa takriban saa nzima. Taarifa rasmi ya Ikulu ikaeleza rais Samia amefanya mazungumzo na Lissu bila kuweka details wamezungumza nini, hivyo Tundu Lissu alipaswa to replicate by doing the same. Kwanini Lissu ameropoka mazungumzo ya wawili hao?. Japo yote laliyozungumza ni kweli, why did Lissu had to reveal mambo waliongea na rais in confidence?. Alichofanya Lissu ni a breach of confidence, this shows this is not a man to be trusted!. Ni mropokaji mpaka basi!.
Mimi ni miongoni mwa tuliomchagiza Lissu agombee urais 2020, kuna sifa yake moja mimi nilisema kwa Lissu ni zaidi ya JPM
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali tuu, Ili uchaguzi wa 2020 usiwe ni igizo tuu la uchaguzi, Je tumchagize na kushinikiza Tundu Lissu ndiye asimamishwe na upinzani kumkabili John P. Magufuli? kwa sababu mpaka sasa, Tundu Lissu ndie mwanasiasa pekee wa upinzani ambaye so far, ameonyesha ana...
www.jamiiforums.com
Sikumalizia ni kwenye nini, nilikuwa na maana yangu.
Nikadhani kwa vile sasa huyu mtu almeishi ulaya, atakuwa amestaarabika...kumbe wapi!.
Sio lazima kusema kila kitu!. kiukweli Lissu akijirekebisa hii tabia ya uropokaji na kui control, 2030 he can make a very serious contender kwenye urais.
P
Paul, una right ya kuzungumzia unachotaka lakini pia sidhani una uhalali wa kusema kipi kingekuwa hivi ama vile. Kuna tabia ya kuhodhi taarifa imejitokeza Tanzania. Utakumbuka hata ni taarifa gani inatoka lilikuwa ni jambo lililodhibitiwa sana kipindi cha JPM. Kupata taarifa (za ukweli) ni haki ya kila mtu.
Pamoja na kwamba hujaeleza hapa kama Lissu alizuiwa kutotoa taarifa lakini ametaja tu mambo aliyosema kwa Rais. Hakufikia kusema "... Rais kasema atafanya hiki na kile ....."! Je unapendekeza kwamba mazungumzo yao yasingekuwa reported kabisa hata kwa Chadema? Ni vipi kama habari za mazungumzo yao vingesemwa na Mwenezi wa Chadema - si ungechukia zaidi??
Hiyo unayosema kustaarabika kwa kuishi Ulaya nadhani ni misstep kwa upande wako. Huko Ulaya hutoa taarifa za kuwepo kwa mazungumzo na ni mambo gani yamezungumzwa - huwa hawatoi ni mambo gani yamekubalika. Ndipo husikia habari za kuundwa kwa task force kushughulikia jambo, au kukutana tena baada ya miezi kadhaa kuzugumza. Hawafanyi unachopendekeza hapa - kunyamaza na kuficha!!!
Kwa wanaChadema yaliyosemwa ni mambo muhimu. Kwa wanaCCM yaliyosemwa ni maudhi, ninalewa uchungu wako kwa sababu ni mambo ambayo ungependa yasizungumzwe hadharani ili kuwe na nafasi kuwa hayakuwahi kuzungumzwa. Kwa neutrals kama mimi - kilichofanyika ni sahihi. Nimepata kujua zaidi ya kulikuwa na mazungumzo, ninajua sasa Lissu aliyeomba kukutana na Rais, alizungumza nae mambo gani.
Mkuu Mr Dudumizi , I'd like to differ, sio kila ukweli ni lazima usemwe, ukweli mwingine ni ukweli mchungu wa hatari, ukisemwa badala ya kujenga, unabomoa!. Ukweli ambao ni lazima usemwe ni ule ukweli ambao ukisemwa utasaidia. Hivyo kabla ya kuusema ukweli wowote, unaufanyia objectivity test kwa kujiuliza, jee ukweli huu ukisemwa utasaidia?, utayajenga au utabomoa na kuharibu?. Je ukweli huo una maslahi kwa taifa au majanga?. Baada ya kupata majibu hayo, unajifanyia self censorship na kumua au kusema au kunyamaza na kupotezea!.
Wanabodi. Kama kawaida yangu, leo naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Mada ya leo ni swali la kitu kinachoitwa "morality": "Jee ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia?. Na tukija kwenye medani za siasa, kabla ya kuusema ukweli wowote tunaousikia, je ni lazima tuseme...
Tundu Lissu amesema Walionipiga risasi ni Kikosi kazi kilichopo chini ya Rais kikisimasimaiwa na Mkuu wa TISS Kipilimba. Kikosi kazi kimeua watanzania wengi sana.
Kimeua watu wengi sana, Kilijumuisha watu wa Usalam wa taifa, Watu wa Jeshi la Wananchi, Jeshi la Polisi. Kinaitwa kikosi kazi cha kupambana na Ugaidi na madawa ya kulevya.
Watu wote waliouawa Maeneo ya Mkuranga, Kibiti Kilwa Rufiji zaidi ya watu 400. Wale waliokuwa wanatupwa mtoni maiti zinaokotwa kwenye beach, wote ni Wahanga wa Kikosi hicho.
Ndio waliomteka Ben Saanane, Azory Gwanda Mdude, Mo Dewji. Yote yalitekelezwa na hicho kikosi kazi hichi chiini ya Kipilimba ammbaye sasa ni Balozi.
Kwa maoni yangu, Tundu Lissu anahitaji ushauri nasaha. Binadamu ukipitia maswahibu na mapito kama aliyopitia, unaathirika ki fizikia, ki emosheni na kisaikolojia, (physical, emotional and psychological), hivyo anahitaji ushauri nasaha jinsi ya kutoka kwenye jinamizi hili na kuendelea na maisha.
Huku kutaja taja majina ya watu, na kutangazia ulimwengu kuwa vyombo vyetu tukuka vya ulinzi na usalama kuwa ndio walio husika, shambulio lake, bila ushahidi wowote, ni kuzidi kuibagaza tuu nchi yetu!.
Ametaja Kikosi kazi kinachojumuisha Polisi, JWTZ na TISS,, hawa ni askari wetu, trained, how could they do such a messy dirty job?. Kwa trained snipers, only one single shot would have finished the job!. Hili hata Mama Samia amewahi kuizungumzia, askari wetu trained wakimiss target by two shots, wanaandika maelezo kujieleza!.
Wanabodi. Kama kawaida yangu, leo naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Mada ya leo ni swali la kitu kinachoitwa "morality": "Jee ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia?. Na tukija kwenye medani za siasa, kabla ya kuusema ukweli wowote tunaousikia, je ni lazima tuseme...
www.jamiiforums.com
Kitendo cha Rais Samia kukubali kukutana na Lissu ni uthibitisho tosha wa kauli na matendo she is healing this nation.
Wanabodi, Hii ni Nipashe ya wiki iliyopita Wanabodi, Hili ni bandiko la Pongezi kwa Rais wetu, Mama Samia. Kama mtu uliwahi kuandika kuhusu jambo fulani, halafu hilo jambo likafanyika, kwa jinsi ile ile ulivyoandika na ulivyoshauri, hata kama halikufanyika kwasababu ya andiko lako au ushauri...
Kitendo cha rais Samia kukubali kukutana na Tundu Lissu, ni uthibitisho wa ile nia ya dhati ya kulioponya taifa kwa kufuata ile filosofia ya Rais Samia ni rais Watanzania wote, ni rais wa wana CCM, ni rais wa wapinzani ni rais wa Watanzania wote hata wasio na vyama, lengo la kila Mtanzania ni kuijenga Tanzania yetu, hivyo CCM na wapinzani, tunajenga nyumba moja, hatuna sababu yoyote ya kugombea fito.
Kwa vile ni mazungumzo ya faragha, Taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu chini ya Mkurugenzi mpya, Zuhura Yunus (hongera), ikaeleza kuhusu mkutano huo wa Rais Samia na Tundu Lissu bila kueleza kilicho zungumzwa.
Rais wa JMT, ndiye raia number moja wa JMT na ndie Mkuu kuliko mtu mwingine yeyote kimamlaka na kimadaraka ndani ya JMT. Sasa inapotokea mtu yeyote umeomba kumuona rais na kuongea nae jambo lako lolote na rais akakukubalia kumuona na kuongea nae, ile tuu kuongea na rais ni heshima kubwa, ina maana umeaminiwa.
Hivyo Tundu Lissu kukubaliwa kukutana na rais Samia, ni Lissu ameaminiwa. "Ukiaminiwa, jiaminishe". Baada ya mazungumzo, of course, lazima kuna hoja na maombi aliwasilisha kwa rais Samia.
Kwa vile Lissu ni mtu mdogo compared to Samia, na amekutana na mtu mkubwa, rais wa JMT, baada ya kikao, ukiona mkubwa amenyamaza, na wewe mdogo nyamaza!.
Moja ya mapungufu makubwa ya upinzani wa Tanzania, ni kupayuka payuka sana, kuropoka ropoka na kupiga sana kelele kuhusu karibu kila kitu!.
Kuna mambo ya kupigia kelele na kelele zikasaidia, lakini kuna mambo ya kufanywa kimya kimya, sio kila kitu ni kupayuka, kuropoka na kupiga kelele.
Kama Lissu ameaminiwa na kuzungumzia na rais Samia in confidence, kitendo cha kusema alichozungumza ni breach of confidence. Mambo mengine ni kujifunza kunyamaza, ukiaminiwa jiaminishe.
Kwa maoni yangu, Tundu Lissu anahitaji ushauri nasaha. Binadamu ukipitia maswahibu na mapito kama aliyopitia, unaathirika ki fizikia, ki emosheni na kisaikolojia, (physical, emotional and psychological), hivyo anahitaji ushauri nasaha jinsi ya kutoka kwenye jinamizi hili na kuendelea na maisha.
Huku kutaja taja majina ya watu, na kutangazia ulimwengu kuwa vyombo vyetu tukuka vya ulinzi na usalama kuwa ndio walio husika, shambulio lake, bila ushahidi wowote, ni kuzidi kuibagaza tuu nchi yetu!.
Ametaja Kikosi kazi kinachojumuisha Polisi, JWTZ na TISS,, hawa ni askari wetu, trained, how could they do such a messy dirty job?. Kwa trained snipers, only one single shot would have finished the job!. Hili hata Mama Samia amewahi kuizungumzia, askari wetu trained wakimiss target by two shots, wanaandika maelezo kujieleza!.
Wanabodi. Kama kawaida yangu, leo naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Mada ya leo ni swali la kitu kinachoitwa "morality": "Jee ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia?. Na tukija kwenye medani za siasa, kabla ya kuusema ukweli wowote tunaousikia, je ni lazima tuseme...
www.jamiiforums.com
Kitendo cha Rais Samia kukubali kukutana na Lissu ni uthibitisho tosha wa kauli na matendo she is healing this nation.
Wanabodi, Hii ni Nipashe ya wiki iliyopita Wanabodi, Hili ni bandiko la Pongezi kwa Rais wetu, Mama Samia. Kama mtu uliwahi kuandika kuhusu jambo fulani, halafu hilo jambo likafanyika, kwa jinsi ile ile ulivyoandika na ulivyoshauri, hata kama halikufanyika kwasababu ya andiko lako au ushauri...
hakuna uovu unaojenga taifa, hakuna uongo mzuri kaka, kama hakg ndio huinua taifa kwenye haki hakuna uongo nikweli maendeleo nimaslahi ya taifa, je' kila unapotaka mafanikio ni lazima uumize watu? unaweza tenda haki kwa kuvunja miongozo mliojiwekea? ukweli nikwawapenda haki ndomana ccm ya zamani waliliona hilo kwamba watakua wakweli daiama nakamwe hawatasema uongo maana kwao uongo ulikua mwiko, kaka p'hakuna uongo unaojenga taifa ukiona mtu anautetea uongo au maovu kwa kisingizio cha maendeleo huyo nimharifu kama waharifu wengine, hata katika vyombo vya kutoa haki watu wanaapa kusema ukweli ili haki itendeke huku wakimwomba mungu awasaidie''kila uongo lazima usemwe ili kukomesha ubaya''
Hata hivyo, yapo mambo ambayo yakisemwa ni destructive, even if they’re absolutely true. Kwa mfano, kumuambia rafiki yako ukweli kwamba mke au mme wake sio muaminifu kwenye ndoa yao (i.e., ana mchepuko au michepuko) ni destructive talk. So, the benefit must always outweigh the social cost!
Mkuu Pulchra Animo , naunga mkono hoja, hata kama kweli ni ukweli, lakini sio lazima kila ukweli lazima usemwe, ukweli mwingine sio lazima usemwe, unapaswa kufanya kitu kinaitwa objectivity test ya kuupima jee ukweli huo ukisemwa unajenga au unabomoa, ukiona ukweli huo unabomoa, then it's better ukweli huo usisemwe indefinitely.
Wanabodi. Kama kawaida yangu, leo naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Mada ya leo ni swali la kitu kinachoitwa "morality": "Jee ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia?. Na tukija kwenye medani za siasa, kabla ya kuusema ukweli wowote tunaousikia, je ni lazima tuseme...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.