Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Kuna mtu aliyetoa ushauri wa Ballali kuwa mshauri wa kiuchumi wa Mkapa na baadaye Gavana wa Benki Kuu. Mtu huyo alijua mambo kadhaa:
a. Alijua sifa za kisomi za Ballali ambazo zingetukuzwa (kusema anakuja toka WB na mchumi aliyebeboa)
b. Alijua udhaifu wa Benki Kuu
c. Yuko karibu na Rais Mkapa
d. Alikuwa na maslahi katika mafanikio ya mipango yao
e. Alikuwa ni mtu ambaye yuko karibu na watawala kiasi cha kuweza kuaminiwa katika masuala ya kiuchumi.
f. Alikuwa ni mtu mwenye mtandao mzuri wa wafanyabiashara ambao walikuwa tayari kufanya lolote kwa neno lake.
g. Ni mtu ambaye kwake Tanzania ni kisima cha utajiri!
Mkishamjua mtu huyo mtakuwa mmemkamata ring leader of organized crimes in Tanzania. Huyo ndiye atakuwa aliyebuni na kusimamia wizi wa fedha nyingi toka Benki Kuu na pia mikataba mbalimbali mibovu!
Ni nani huyo?
a. Alijua sifa za kisomi za Ballali ambazo zingetukuzwa (kusema anakuja toka WB na mchumi aliyebeboa)
b. Alijua udhaifu wa Benki Kuu
c. Yuko karibu na Rais Mkapa
d. Alikuwa na maslahi katika mafanikio ya mipango yao
e. Alikuwa ni mtu ambaye yuko karibu na watawala kiasi cha kuweza kuaminiwa katika masuala ya kiuchumi.
f. Alikuwa ni mtu mwenye mtandao mzuri wa wafanyabiashara ambao walikuwa tayari kufanya lolote kwa neno lake.
g. Ni mtu ambaye kwake Tanzania ni kisima cha utajiri!
Mkishamjua mtu huyo mtakuwa mmemkamata ring leader of organized crimes in Tanzania. Huyo ndiye atakuwa aliyebuni na kusimamia wizi wa fedha nyingi toka Benki Kuu na pia mikataba mbalimbali mibovu!
Ni nani huyo?