- Mkapa ni fisadi period kwa wale msiomjua vizuri, pale Tanesco kulikuwa na jamaa yangu ambaye pia anamiliki FM Academia "Wazee wa Mujini", huyu jamaa alikuwa mkurugenzi wa kitengo Tanesco, yalipokuja ya Netgroup aliandika paper ndefu sana kuikataa kabisa na kutoa sababu nyingi za kumsingi, Mkapa alipewa copy ya hiyo paper, aliwaamuru uongozi wa juu Tanesco kuomuondoa mara tu opportunity itakapopatikana, and yes they eventually did it lakini to this day Mkapa anajua wazi kwamba huyu jamaa ndiye anayejua vizuri sana maovu yote Mkapa aliyoyafanya Tanesco, kwa hiyo kwanza naomba kuweka wazi hapa kwamba huyu Mkapa alikuwa ni fisadi tena wa hatari sana siku zote, ndio maana kwanza Warioba na kamati yake ya rushwa hawakuenda kuchunguza wizara ya zamani ya Mkapa, na ndio maana ili kuficha maovu yake kule Elimu na sayansi akawapandisha vyeo wale wote aliokula nao kule, kina Mahalu na Dr. Bilali.
- Mkapa amekuwa karibu sana na familia tatu za Musoma, katika kutafuta insurance ya ajira zake serikalini, familia za Nyerere, Muganda, na Butiku, kwa muda mrefu sana aliwadaganya sana hizi familia kwamba he was a good man/leader, infact enzi za urais wa Mwinyi, Mkapa alikua haishi kukimbilia Butiama kulia kwa Mwalimu, kuwa Mwinyi na Malecela hawafai. Hizi familia ambazo ndizo zilizokuwa na power kwa muda mrefu sana bongo zikafikia mahali zikamuamini na hata kum-promote apewe urais na hasa Butiku, aliyekua mstari wa mbele sana kumpigia debe kwa Mwalimu, wakakosea wakampa kweli urais the next thing kwa mara ya kwanza akawaonyesha rangi zake za kweli, akawatupa wote nje na kutafuta marafiki wapya kina Ruhinda na Mushi.
- Mkapa akamrudisha Anna Muganda kuwa mshauri wake wa uchumi toka W/B, according to the dataz somehow Mama Anna alishituliwa na watu kuwa urafiki wa Mkapa na mshauri wake wa uchumi haukuwa wa kawaida, mama akaja juu sana ikabidi mshauri aondoke haraka sana, the next thing Ballali ni mchumba wa huyu ex-mshauri wa uchumi wa Mkapa na anakuwa governor BOT sasa the rest of the story unaweza kutumia common-sense ku-figure out how Ballali became a governor ninaamini wote hapa ni watuwazima.
Ila Mkapa, kwa viongozi wanaomjua siku nyingi wanajua kua ni mpenda anasa na mpenda makuu, mwenye majivuno na asiye na utu hata kidogo, ndio maana wajumbe wa NEC kwa kujua hayo walikuwa wakikataa kata kata juhudi zote za Mwalimu, kumfanya Mkapa kuwa mjumbe wa NEC na CC katika kipindi chote cha urais wa Mwalimu, sasa huwezi kusema kwamba eti wa-Tanzania tulikuwa hatumjui Mkapa, ni big hapana, na eti kwamba Mwalimu alikuwa hamjui Mkapa, that is a biggest lie of a century, Mkapa was a better devil kuliko all the other devils as far as Mwalimu was concerned na alikuwa na manufaa makubwa kwa Mwalimu as a person, kama huamini hili tizama Nyerere Foundation ilipo sasa.
Kwenye kumkoma nyani huwa hatumuangalii usoni.