Swali la namba yangu umetoa wapi.?

Atasonya kwa hilo jibu.

Nipo umepotea kama mkojo wa kuku.

Hahahahahha una uzoefu nao hapo kwenye kusonyaa??!! Anyaways waache na misonyo yao wewe pata unachotaka.

Wewe Ndo umepotea na kuonesha kuwa hutaki kuonekana hadi avatar umebadilisha.....

Haahahahahahaaa Masai weewee... Ati mkojo wa kuku.
Basi heri kuwa uko salama na nzima wa afya. Ukimuona babu Asprin mpe zake salamu.
 
Hizi za babu zimefikaza.

Maadam licha ya kuibadili avatar umeniona. Tegemea kuniona karibu yako tena na tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…