Mnyamahodzo
JF-Expert Member
- May 23, 2008
- 1,933
- 988
Mjibuji=>mtoa jibu.
Ni miezi mitatu sasa tangu mwanasheria? Wakili Tundu Lissu alipouliza swali la msingi kama televisheni ya ITV.
Ilikuwa ni tarehe 30/05/2009 katika kipindi cha Kipima Joto, kinachoendeshwa na Alfred Masako, mada ikiwa VITA DHIDI YA UFISADI JE, WANACHI WANAHUSISHWA KWA UKAMILIFU? (kama patakuwa na dosari katika kichwa cha mada basi ni ndogo, lakini ndiyo maana ya kimuktadha ya mada iliyojadiliwa) miongoni mwa washiriki wa kipindi hicho ni Tundu Lissu na Ananilea Nkya.
Akiisha kuchangia kwasehemu kubwa katika mada hiyo Lissu alisema" Ni swali ninalojiuliza sana, mara nyingi, hata sasa ninajiuliza ni kwanini Baraza la Mawakili limekuwa kimya hadi sasa juu ya tuhuma za ufisadi? Masuala ya EPA, Richmond, Kagoda yanatajwa wako kimya.Hawajatoa tamko wala kuchukua hatua ...Kenya na sehemu nyingine duniani ni forum hiyo ya mawakili ndiyo iliyoibia mambo makubwa na kuponya wizi wa mali za umma...... Ukimya huu wa baraza la Mawakili dhidi ya ufisadi hadi sasa unasababishwa na nini?"
Swali ninalojiuliza hivi kwanini swali hilo alilouliza Lissu linakosa mtu wa kulijibu katika baraza hilo?
Ni miezi mitatu sasa tangu mwanasheria? Wakili Tundu Lissu alipouliza swali la msingi kama televisheni ya ITV.
Ilikuwa ni tarehe 30/05/2009 katika kipindi cha Kipima Joto, kinachoendeshwa na Alfred Masako, mada ikiwa VITA DHIDI YA UFISADI JE, WANACHI WANAHUSISHWA KWA UKAMILIFU? (kama patakuwa na dosari katika kichwa cha mada basi ni ndogo, lakini ndiyo maana ya kimuktadha ya mada iliyojadiliwa) miongoni mwa washiriki wa kipindi hicho ni Tundu Lissu na Ananilea Nkya.
Akiisha kuchangia kwasehemu kubwa katika mada hiyo Lissu alisema" Ni swali ninalojiuliza sana, mara nyingi, hata sasa ninajiuliza ni kwanini Baraza la Mawakili limekuwa kimya hadi sasa juu ya tuhuma za ufisadi? Masuala ya EPA, Richmond, Kagoda yanatajwa wako kimya.Hawajatoa tamko wala kuchukua hatua ...Kenya na sehemu nyingine duniani ni forum hiyo ya mawakili ndiyo iliyoibia mambo makubwa na kuponya wizi wa mali za umma...... Ukimya huu wa baraza la Mawakili dhidi ya ufisadi hadi sasa unasababishwa na nini?"
Swali ninalojiuliza hivi kwanini swali hilo alilouliza Lissu linakosa mtu wa kulijibu katika baraza hilo?