Swali la Ugomvi: Kwani Wenzetu Hawa Walisomea Nini? - Part 1

Tunapinga Udikteta wa JPM na kuulani wakati sisi tunataka kupangia watu nani wa kuunga mkono ? Kwamba sababu hakukemea wakati au kile wewe ulichoona hakipo sawa hivyo chochote anachosema kuanzia hapo ni Pumba ?

Nadhani tungefika mbali sana kama tungekuwa tunapima na kujibu kilichowekwa mezani na sio nani amekisema.., Sababu Even a Broken Clock is Right Twice a Day; Na being personal kunapunguza muda wa kujikita kwenye concrete issues...
 
Mkuu, uliunga mkono juhudi enzi ya JPM ukajua atakupa cheo, na yeye akafa, ukatoka patupu, heshima huna na cheo huna, miaka ile ungekuwa na comments elfu tanunaishi

Duh..mnafikiri nilikosoea? Mliosema "alipo tupo" hamjakubali tu labda JPM Alienware shule nyingine. Mliposhangilia kifo chase nilidhani Tanzania ingekuwa inapaa....uko mitaani watu wanammiss jembe wao...Mungu amlaze pema peponi na kumbukumbu lake liendelee kusimuliwa vizazi vingi vijavyo. Amina.
 
Siyo lazima uonekane umeandika hata kama huna facts zozote. Mleta mada kaja na hoja nzito na nyeti kwa mstakabali wa maendeleo ya taifa letu lakini wewe unakuja na ngonjera za Tanesco hugawiwa hela na serikali! Tanesco hawauzi umeme? Una uhakika kuwa bunge hupitisha bajeti ya Tanesco?
 
Teh teh teh... ko ulifurahia mateso ya upinzani kisa Slaa hakugombea? Shida yenu ilikua ugombea? Nafsi inakusuta sana we mnafiki.

Muda umewahukumu vikali sana...
 
 
Teh teh teh... ko ulifurahia mateso ya upinzani kisa Slaa hakugombea? Shida yenu ilikua ugombea? Nafsi inakusuta sana we mnafiki.

Muda umewahukumu vikali sana...
Nani kasema Dr. Slaa hakugombea? Kama hakugombea Nani aligombea? Muda haujatuhukumu sisi tuliopinga mabadiliko ya kuzungurusha mikono. Muda na historia itawahukumu tena vitality mwakani kwa kusaliti harakati zilizomwaga damu za upinzani.
 
Umeme umekatika huku muda huu vp huko??
 
Nani kasema Dr. Slaa hakugombea? Kama hakugombea Nani aligombea? Muda haujatuhukumu sisi tuliopinga mabadiliko ya kuzungurusha mikono. Muda na historia itawahukumu tena vitality mwakani kwa kusaliti harakati zilizomwaga damu za upinzani.
Haha, huna tofauti na kima anayecheka uchi wa mwenzie. Babu najua imekuchua muda sana akili yako kurudi kwenue default mode! We una upinzani gani zaidi ya kufuata ushawishi wa yule kahaba ili usaliti mapambano?
Siasa za magufuli zimewadhalilisha sana wanaharakati uchwara sahv mnatafuta mtoke vipi!! Utawala wa yule Kichaa umewaacha uchi!
 
Kusomeshwa siyo kuelimika. Unachotakiwa kukifanya ni ku"soma" wewe mwenyewe.
 
Bahati mbaya sana Mzee Mwanakijiji naye aligeuka kuwa Chawa Kunguni wa JPM, so sad!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…