Stone Town
Senior Member
- May 28, 2007
- 114
- 26
Habari za wakati huu.
Ama mimi mawazo yangu ni toauti na wengine labda inagwa nakubaliana na aliyesema kwamba wanawake wengi wanapenda mwanamme mwenye pesa lakini nimefurahi sana kusikia kuwa sio wanawake wote.
Mimi ni mwanamke lakini lakini kitu ninachokichukia ni mwanmme mwenye pesa na nina sababu zangu. sababu ya kwanza imani yangu inanielekeza kuwa mwanamme mwenye pesa atanisumbua kwa kunisimbulia lakini pia atajiona ananilazimisha nimpende kutokana na fedha zake. lakini pia atakuwa akichukua wanawake nikimgundua anaweza kunitovukia adabu kwa kusema kwani unajali nini fedha si zangu mwenyewe?
Kwa kweli kwenye mapenzi ya kweli nadhani mtu haangalii pesa wala nini ni mapenzi ya dhati kama yapo hiyo pesa inakuja by the way tu.
kuhusu wanawake kupenda fedha hilo linalotokana na mambo mawili moja umasikini kutokana na jengine ni tamaa kuwekwa mbele kwa sababu hasa wale vijana wa wenye tabia ya kwenda kujirusha wanataka kubadilisha magauni kila wanapotoka nje sasa watapata wapi hizo fedha za kubadilisha badilisha mavazi wasipopenda wanaume wenye nacho jamani?. please mimi simo katika hao.
Tukija kwa upande mwengine maana mimi napenda sana ku balance wapo wanaume wneye kupenda wa mama wenye pesa pia na hao mara nyingi huwa ni vijana ambao hupenda kujirusha mitaani na kwenye vilabu hawa nao wanawategemea sana wanawake wenye pesa ili wapate kutimiza malengo yao ya kupata wasichana wadogo wanaolingana na wao na jengine kujionesha kwa vijana wenzao kuwa wana gari na kila kitu cha kisasa.
lakini kwa upande wa wanawake wenye pesa wakipata wanaume hawana pesa wanapoamua kuwasimbulia laaaa laaa kuwashinda hao wanaume kwa masimbulizi maana uanweza mwanamme ukasema basi kama ni pesa yako basi bora nisamehe lakini unajua tena penye kitu fedha utakaa aaaa ukifkiri ujidai kukatisha amwasiliano siku moja lakini siku ya pili unarudi kuomba radhi ...e bwana weee mambo makubw ahaya yaani kwenye mambo haya we acha tu ndio mapmbo ya mapenzi eti.. mmmh.
bye
Ama mimi mawazo yangu ni toauti na wengine labda inagwa nakubaliana na aliyesema kwamba wanawake wengi wanapenda mwanamme mwenye pesa lakini nimefurahi sana kusikia kuwa sio wanawake wote.
Mimi ni mwanamke lakini lakini kitu ninachokichukia ni mwanmme mwenye pesa na nina sababu zangu. sababu ya kwanza imani yangu inanielekeza kuwa mwanamme mwenye pesa atanisumbua kwa kunisimbulia lakini pia atajiona ananilazimisha nimpende kutokana na fedha zake. lakini pia atakuwa akichukua wanawake nikimgundua anaweza kunitovukia adabu kwa kusema kwani unajali nini fedha si zangu mwenyewe?
Kwa kweli kwenye mapenzi ya kweli nadhani mtu haangalii pesa wala nini ni mapenzi ya dhati kama yapo hiyo pesa inakuja by the way tu.
kuhusu wanawake kupenda fedha hilo linalotokana na mambo mawili moja umasikini kutokana na jengine ni tamaa kuwekwa mbele kwa sababu hasa wale vijana wa wenye tabia ya kwenda kujirusha wanataka kubadilisha magauni kila wanapotoka nje sasa watapata wapi hizo fedha za kubadilisha badilisha mavazi wasipopenda wanaume wenye nacho jamani?. please mimi simo katika hao.
Tukija kwa upande mwengine maana mimi napenda sana ku balance wapo wanaume wneye kupenda wa mama wenye pesa pia na hao mara nyingi huwa ni vijana ambao hupenda kujirusha mitaani na kwenye vilabu hawa nao wanawategemea sana wanawake wenye pesa ili wapate kutimiza malengo yao ya kupata wasichana wadogo wanaolingana na wao na jengine kujionesha kwa vijana wenzao kuwa wana gari na kila kitu cha kisasa.
lakini kwa upande wa wanawake wenye pesa wakipata wanaume hawana pesa wanapoamua kuwasimbulia laaaa laaa kuwashinda hao wanaume kwa masimbulizi maana uanweza mwanamme ukasema basi kama ni pesa yako basi bora nisamehe lakini unajua tena penye kitu fedha utakaa aaaa ukifkiri ujidai kukatisha amwasiliano siku moja lakini siku ya pili unarudi kuomba radhi ...e bwana weee mambo makubw ahaya yaani kwenye mambo haya we acha tu ndio mapmbo ya mapenzi eti.. mmmh.
bye