JamiiCheck
Member
- Nov 3, 2023
- 98
- 122
oyaa acha kabisaa kawaulize manzese na tandale kwa bibi nyau hawana hamu masela wa enzi hizo 2010 kurudi chini huko walishapandwa sana na mwamba huyo! na lazima useme ndio shart lake la sivyo anakugeuza mkewe!Stori za popobawa hakuna mwenye ushahidi
Uwepo wa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.Baadhi ya Taarifa za Uzushi zimekuwepo kwa muda mrefu na kurithishwa kizazi hadi kizazi, hivyo kuathiri mitazamo ya watu
Je, ni Uzushi gani maarufu ambao umetawala mitazamo ya watu kwa muda mrefu?
Ili kujua Uhalisia wa Taarifa unazokutana nazo, tembelea Jukwaa la JamiiCheck
Kuona nyota ya jah. Wanasema Bakhresa alikuwa fundi viatu Ila alipopata bahati ya kuona nyota ya jah akatajirika.Baadhi ya Taarifa za Uzushi zimekuwepo kwa muda mrefu na kurithishwa kizazi hadi kizazi, hivyo kuathiri mitazamo ya watu
Je, ni Uzushi gani maarufu ambao umetawala mitazamo ya watu kwa muda mrefu?
Ili kujua Uhalisia wa Taarifa unazokutana nazo, tembelea Jukwaa la JamiiCheck
Bila Ccm hakuna Tanzania.Baadhi ya Taarifa za Uzushi zimekuwepo kwa muda mrefu na kurithishwa kizazi hadi kizazi, hivyo kuathiri mitazamo ya watu
Je, ni Uzushi gani maarufu ambao umetawala mitazamo ya watu kwa muda mrefu?
Ili kujua Uhalisia wa Taarifa unazokutana nazo, tembelea Jukwaa la JamiiCheck