General Galadudu
JF-Expert Member
- Nov 7, 2015
- 1,868
- 2,210
Eti Nyerere alivyokufa walishindwa kutangaza mapema kwa kuhofia vita itatokea 🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii hata mimi huwa hainiingii akilini kabisakifo kinapangwa na Mungu.
Kwamba kwenye hii nchi, mtu hawezi kuwa kiongozi wa kisiasa au mtu maarufu bila kuwa mshirikina. Yaani wengi wanaamini lazima awe anajiganga kupitia imani za kishirikina (kupigwa chale, kutoa kafara, kuamini hirizi) hata kama ana imani nyingine ya kidini.
Baadhi ya Taarifa za Uzushi zimekuwepo kwa muda mrefu na kurithishwa kizazi hadi kizazi, hivyo kuathiri mitazamo ya watu
Je, ni Uzushi gani maarufu ambao umetawala mitazamo ya watu kwa muda mrefu?
Ili kujua Uhalisia wa Taarifa unazokutana nazo, tembelea Jukwaa la JamiiCheck
Ukristo ni dini ya Mungu wakati imeletwa na wazungu kwa maslahi yao
Baadhi ya Taarifa za Uzushi zimekuwepo kwa muda mrefu na kurithishwa kizazi hadi kizazi, hivyo kuathiri mitazamo ya watu
Je, ni Uzushi gani maarufu ambao umetawala mitazamo ya watu kwa muda mrefu?
Ili kujua Uhalisia wa Taarifa unazokutana nazo, tembelea Jukwaa la JamiiCheck
Kuna maisha mapya baada ya kifo.
Baadhi ya Taarifa za Uzushi zimekuwepo kwa muda mrefu na kurithishwa kizazi hadi kizazi, hivyo kuathiri mitazamo ya watu
Je, ni Uzushi gani maarufu ambao umetawala mitazamo ya watu kwa muda mrefu?
Ili kujua Uhalisia wa Taarifa unazokutana nazo, tembelea Jukwaa la JamiiCheck
Hivi Kuna uwezekano akawepo ila ndo jamii ya watu wa sasa hayo mambo yake(popobawa) wanayapenda?oyaa acha kabisaa kawaulize manzese na tandale kwa bibi nyau hawana hamu masela wa enzi hizo 2010 kurudi chini huko walishapandwa sana na mwamba huyo! na lazima useme ndio shart lake la sivyo anakugeuza mkewe!
popobawa alipotea na yule mtabiri sheik yahya alipofariki ndio zile issue zikaisha.. yule mzee alikuwa na balaa hatarii!Hivi Kuna uwezekano akawepo ila ndo jamii ya watu wa sasa hayo mambo yake(popobawa) wanayapenda?
hahaha yani imekaa kinamna flani hivi.Hii hata mimi huwa hainiingii akilini kabisa
Kwamba nyuma ya lile jini kuna siri nzito sana inazomuhusu Mtabiri.? Hahaha hatari sanapopobawa alipotea na yule mtabiri sheik yahya alipofariki ndio zile issue zikaisha.. yule mzee alikuwa na balaa hatarii!
Mzazi akikulaani unalaanika au akikubariki unabarikiwa. Uzushi.
Yaani afanye manuva uchomwe moto ufe, afanye manuva upigwe na wasiojulikana je hao wasiojulikana watakua na dhambi wakati wewe "sir" ndo umepanga jamaa afe hivyo, angekufa vipi bila watu kuhusika kama ulipanga auawe na watu haohao....hahaha yani imekaa kinamna flani hivi.
ndo point yangu ilikua hiyo binadamu pia anaweza kupanga kifo cha binadamu mwenzie.Yaani afanye manuva uchomwe moto ufe, afanye manuva upigwe na wasiojulikana je hao wasiojulikana watakua na dhambi wakati wewe "sir" ndo umepanga jamaa afe hivyo, angekufa vipi bila watu kuhusika kama ulipanga auawe na watu haohao....