Kw="qaxemvule, post: 20991430, member: 414089"]Kwasababu makonde anayoyapeleka mazito[/QUOTE]. Hawezi kukava ile nafasi aisee yet MTU kafika nae round kibao yule ww unafikir Tyson alikuwa anamfikisha MTU hata raundi mbili?? yaan ilikuwa kipindi kile ukichelewa tuu kuingia bandani kuangalia ngumi ukija unakuta watu wanatoka round ya kwanza tuu pambano analimaliza