Swali langu: kwani mwanaume hawezi kua na maumbile mazuri? Kwanini kila attribute nzuri inaambiwa ni “ya kike”?

Swali langu: kwani mwanaume hawezi kua na maumbile mazuri? Kwanini kila attribute nzuri inaambiwa ni “ya kike”?

haszu

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
978
Reaction score
2,313
Kuna vitu vinachosha sana.
Mtu anakuona anasema “ Una macho mazuri” au una vidole vya kike (sababu ni vizuri),
Au anakuangalia anasema unanywele laini lama za mwanamke.
Sasa kwani wanaume ndo wameumbiwa kua na vitu vibaya na vya rough? Ni bora ukae kimya kuliko ku compliment mtu kwa style hiyo, wadada hasa hasa, kaeni mbali na mimi.
 
Kuna vitu vinachosha sana.
Mtu anakuona anasema “ Una macho mazuri” au una vidole vya kike (sababu ni vizuri),
Au anakuangalia anasema unanywele laini lama za mwanamke.
Sasa kwani wanaume ndo wameumbiwa kua na vitu vibaya na vya rough? Ni bora ukae kimya kuliko ku compliment mtu kwa style hiyo, wadada hasa hasa, kaeni mbali na mimi.
Una kishuzi mkuu? Kama unacho basi wewe ni mzuri?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Title ya thread ilikuwa nzuri ila uzi wenyewe umeharibu umeremba sana mifano ya kutoa ungetoa kama boy kuwa na miguu mizuri nywele kucha rangi vitu kama hivyo
 
Palikuwa na haja gani umalizie kwa kichambo kwamba wakae mbali na wewe
 
Ifike hatua sasa uweke picha na watu waone , maana naona kila kukicha ni kujisifia
 
Kuna vitu vinachosha sana.
Mtu anakuona anasema “ Una macho mazuri” au una vidole vya kike (sababu ni vizuri),
Au anakuangalia anasema unanywele laini lama za mwanamke.
Sasa kwani wanaume ndo wameumbiwa kua na vitu vibaya na vya rough? Ni bora ukae kimya kuliko ku compliment mtu kwa style hiyo, wadada hasa hasa, kaeni mbali na mimi.
Lipia tangazo
 
Back
Top Bottom