Hamza Nsiha
JF-Expert Member
- Jul 25, 2022
- 221
- 197
Habari za muda huu ndugu wana jukwaa la Habari na hoja mbalimbali. Leo hii ninapenda kuwashirikisha jambo mojawapo ambalo limekuwa likitukwamisha katika maeneo mbalimbali hususani katika masuala ya madili/fursa.
Je! Ni kwanii watu wengi hupenda kupuuzia fursa mbalimbali zinazojitokeza kwa kuamini kuwa zitakuwa zimesha_fikiwa na watu wengi?
Mfano, Suala la sensa lilipokuja kuna baadhi ya watu walighairi kuomba nafasi katika ngazi ya ukarani, usimamizi wa maudhui na usimamizi wa tehama kwa kuwa waliona ni vigumu sana kupata nafasi hizo. Lakini walipoona majina yamerudishwa kwa ajili ya usaili ndipo wakashtuka kuona kumbe inawezkana.
Pia, katika shindano lililopo la STORIES OF CHANGE watu wengi tunaogopa kujaribu kwa sababu tunaamini kuwa uwezo wetu katika kuandaa maudhui unaweza usiwe bora ukilinganisha na watu wengine kwa sababu ya uwingi wa watu waliyoiona fursa.
Je, ni wangapi walishawahi kukosa dili la wazi au fursa kwa sababu tu ya kupuuza na kuamini kuwa ni vigumu kulipata dili hilo?
Karibu ku_share experience!
Je! Ni kwanii watu wengi hupenda kupuuzia fursa mbalimbali zinazojitokeza kwa kuamini kuwa zitakuwa zimesha_fikiwa na watu wengi?
Mfano, Suala la sensa lilipokuja kuna baadhi ya watu walighairi kuomba nafasi katika ngazi ya ukarani, usimamizi wa maudhui na usimamizi wa tehama kwa kuwa waliona ni vigumu sana kupata nafasi hizo. Lakini walipoona majina yamerudishwa kwa ajili ya usaili ndipo wakashtuka kuona kumbe inawezkana.
Pia, katika shindano lililopo la STORIES OF CHANGE watu wengi tunaogopa kujaribu kwa sababu tunaamini kuwa uwezo wetu katika kuandaa maudhui unaweza usiwe bora ukilinganisha na watu wengine kwa sababu ya uwingi wa watu waliyoiona fursa.
Je, ni wangapi walishawahi kukosa dili la wazi au fursa kwa sababu tu ya kupuuza na kuamini kuwa ni vigumu kulipata dili hilo?
Karibu ku_share experience!