Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
-
- #21
Hapa hapa duniani mkuu. Kama sisi wanaume tupo tusiokuwa na staha mke anaweza pigwa mbele ya Watoto ama wageni wakiwepo. Hii tunaita kukoswa hekima au busaraHivi wanawake wa hivi hua mnawaokotea wapi...☹️
Kuna namna kweli tuna feli. Lkn pia ulivyo sema ni sahihi wanawake baadhi Yao wakiolewa wanajisahau sana.Uwe unakuja vicoba huwa tunafundishana haya, sis tumekuwa wazembe, hatuogi, hatuvai vizuri, hatutumii unyunyu na wanaume wanashindwa kutumudu wakati mashangazi na singo maza wao wapo vizuri kila idara.
sisi tukiolewa tuna relax, ni kosa kubwa sana, Ma-shangazi wanakesha saluni.
Ulimpenda mwenyew ujueMatumbo mbele....zoezi hatutaki kufanya....nani anataka aibu hizo
Mkuu ni kujikaza kiume na uwe mpole hawamalizi maneno na hasa akigundua una mskiliza utaambiwa mengi mno njia yote. Ile wako apite mdada mwenye trakle ungeuke halooh hiyo kesi haitaisha hata mkifika nyumbani utatoa maelezo ya kina😹😹Aisee wako wanaume wenzetu wa hivyo na mimi sijui ni kwanini,au wanakwepa vile vi maswali mbona yule mdada kakutizama sana mwanamke wako nini,au utasikia tununue kabisa na maharage ya wiki na nazi na mchicha na mkaa wakati anajua kabisa mnaenda kwenye harusi...
Inapo fikia hatua hiyo, ndipo hua nakua na tofauti na kanisa langu kwamba ndoa haivunjwi "mimi nasema ndoa inavunjwa"Kuna kanisa niliwahi kusali ilinichukua karibu miezi sita kujua nani ni mke wa nani maana huwezi kuwakuta wako karibu. Sababu ni ugo.vi tu ndani ya ndoa imepelekea wengi kuwakwepa ili wawe na amani.
Wewe jibu kuwa mke wangu tunywe kwanza kesho tutalifanya Hilo zoezi.Minafukiri mwanamke anapaswa afaham aina na tabia za mume wake.
Mfano mie hatuwezi tukawa tumeenda Bar alafu aniulize habari za mboga sijui mkaa.... bladi hell..🤨
Wengi wetu tupo hivyoSi wote inategemea ntu na ntu.
Hiyo sio sababu. Muishi h8vyojivyo kinafiki hadi mauti.Inapo fikia hatua hiyo, ndipo hua nakua na tofauti na kanisa langu kwamba ndoa haivunjwi "mimi nasema ndoa inavunjwa"
Ukiona hivyo jua ndani kuna mgogoro.Wengi wetu tupo hivyo
Siku Moja pastor mbaga sijui una mfahamu aliwakalisha Kwa pamoja nakwambia sura zilibadirika sana sio wanake ama wanaume nilishangaa Sana. Yaani unaona kabisa hawana amani pia wanajichekesha Ili mradi tuKuna kanisa niliwahi kusali ilinichukua karibu miezi sita kujua nani ni mke wa nani maana huwezi kuwakuta wako karibu. Sababu ni ugomvi tu ndani ya ndoa imepelekea wengi kuwakwepa ili wawe na amani. Hasa wamama wenye midomo.
KabisaUkiona hivyo jua ndani kuna mgogoro.
Akiwa flat,asijizeeshe basUlimpenda mwenyew ujue
Kwanza hua haulizi, unaweza kuta tukiwa bar tunasogoa umbea tu nakuwasema walevi wanao sahau maendeleo na kujipenda...🤣Wewe jibu kuwa mke wangu tunywe kwanza kesho tutalifanya Hilo zoezi.
Misiwezi mkuu...Hiyo sio sababu. Muishi h8vyojivyo kinafiki hadi mauti.
Nampata sana. Tena mkipendana sana hadharani ni kama tangazo la vita kwa wasiopendana. Walio na migogoro ya ndoa hasa wanawake hawapendi kuona wenzao wanaenjoy. Wako radhi hata watumie ushirikina kuwaharibu.Siku Moja pastor mbaga sijui una mfahamu aliwakalisha Kwa pamoja nakwambia sura zilibadirika sana sio wanake ama wanaume nilishangaa Sana. Yaani unaona kabisa hawana amani pia wanajichekesha Ili mradi tu
100%Ukiona hivyo jua ndani kuna mgogoro.