Swali linaloumiza wanaume kichwa: Babe can we talk/Nataka leo tuongee!!!

Swali linaloumiza wanaume kichwa: Babe can we talk/Nataka leo tuongee!!!

Daby

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2014
Posts
33,894
Reaction score
76,810
Mkeo au mpenzi wako akikuambia muongee huwa unawaza nini? Najua hili ni swali linalochukiwa na wanaume walio wengi.

Tuambie huwa unawaza nini?

Binafsi mimi huwa najua shida ni hii simu yangu maana ndiyo huwa inaniletea matatizo kila kukicha. Nikiskia tuongee tu najua basi kuna kitu kimepekuliwa kwa simu. Wewe ni kipi?
 
Kwa nyinyi viruka njia na wazinzi lazima mtaogopa lkn mimi kiumbe muaminifu!, nakuwa najua kuna mawili ni aidha anataka tuongee ile ya mdomo kwa mdomo ama anataka tukutanishe vikojoleo!.
mapenzi yanalugha zake inategemea umekutana na nani!.

Kuna watu mtakuja kuchomwa moto huko motoni mtafungwa na transformer ziwe zinawalamba na shoti!.
 
Myself hua si muongeaji,akisema hivyo najua anataka mastory ikifika muda ananiongelesha ya kawaida nikimuuliza anasema na wewe baba yoo yoo hata hutakagi piga story na mkeo!
 
Jibu huwa ni rahisi sana,
Sure we need to talk, hawezi kuniweka kwenye tension peke yangu
Hapo hata kama alikuwa na issue sensitive na yeye anaanza kujiuliza amekosea wapi
 
Kwa nyinyi viruka njia na wazinzi lazima mtaogopa lkn mimi kiumbe muaminifu!, nakuwa najua kuna mawili ni aidha anataka tuongee ile ya mdomo kwa mdomo ama anataka tukutanishe vikojoleo!.
mapenzi yanalugha zake inategemea umekutana na nani!.

Kuna watu mtakuja kuchomwa moto huko motoni mtafungwa na transformer ziwe zinawalamba na shoti!.
Eti kwa nyinyi wa waaminifu 👀👀👀
 
Back
Top Bottom