Eti kwa nyinyi wa waaminifu πππKwa nyinyi viruka njia na wazinzi lazima mtaogopa lkn mimi kiumbe muaminifu!, nakuwa najua kuna mawili ni aidha anataka tuongee ile ya mdomo kwa mdomo ama anataka tukutanishe vikojoleo!.
mapenzi yanalugha zake inategemea umekutana na nani!.
Kuna watu mtakuja kuchomwa moto huko motoni mtafungwa na transformer ziwe zinawalamba na shoti!.
sio shida zangu kama hautaki!Eti kwa nyinyi wa waaminifu πππ