Unafikiri wabunge wa ujerumani walipotunga hiyo sheria walikuwa wanatamani kutiwa au walikuwa wamelewa? Afu wajerumani ni watu wenye akili.
Kuwepo kwa sheria katika nchi zingine kunafungua mijadala ya kujadili sheria zetu pia. Sheria zetu nyingi tunakopi kutoka nje.
Son;
Take it easy. Hayo maadili ya Tanzania ni ya kufikirika tu. Miaka 20 iliyopita kila binti wa kichagga alitaka kuolewa bikira. Sasa hivi wanasepa tu. Na si wameiga kutoka kwa wazungu.
Je maadili ya watanzania yanakubali ushoga? Hayakubali? Lakini mashoga si wapo. Na katika kipindi cha miaka 10 inayokuja watapewa sheria.
Iwapo wanyama watakuwa na utashi wa kuamua nani washiriki nae ngono,nadhani itakuwa sahihi tukiwa na sheria hii hili kulinda haki za wanyama,kwani nahakika hawatokuwa tayari kumvulia pichu Mnyama bin-adamu,kwa kuwa hivi sasa mmezidi kuwabaka.
aisee si ruksa ni dhambi na hakuna haja ya kuwa na sheria kama hiyo ambayo haina tija kwa taifa
Hivi kule misri wana sheria gani mme akifiwa mke?
hahahaha lol! Son usitoke nje ya mada na kuleta mada tofauti. Tunazungumzia utaahira/uhayawani wa mtu mzima kutaka kufanya kitendo kama hicho na mnyama.
Son;
Unamtumia ngo'mbe kwa shughuli zote. Kwanini kumpenda iwe utaahira/uhayawani.
japo siijui ila nakuuliza hv hilo swali ndo jibu la mada?
Kuna nchi kama vile ujerumani, wanazo sheria zinazoruhusu kufanya mapenzi na wanyama. Je inawezekana na sisi Tanzania tukawa na sheria kama hizo?
Kwani kuvaa nguo ulikuwa ni utamaduni wa watanzania? Utamaduni siku zote unaendelea na mambo mapya kuingizwa.
Zakumi kauliza swali lakini watu mnamshambulia kama vile yeye kasema iwe rukhsa binadamu kufanya mapenzi na wanyama.
Kwenye baadhi ya nchi hapa duniani bestiality huwa ni unlawful under animal abuse laws.
Kujadili suala hilo wala si jambo baya.