A sound like somebody is banging her head against the wall:frusty: hii mijitu inareta mada gani.
kwa sheria za Tanzania sijaona sheria inayobana moja kwa moja mapenzi na wanyama.
Kuna mtu aliwahi kufikishwa kizimbani kwa kubaka papai, very true.
Ila kuna haja ya sheria hizi kuanza kufanyiwa mchakato na watu wa haki za wanyama.
Ng'ombe, mbuzi na kondoo wanabakwa sana huko machungani.
Tunahitaji sana hii sheria.
Kuna nchi kama vile ujerumani, wanazo sheria zinazoruhusu kufanya mapenzi na wanyama. Je inawezekana na sisi Tanzania tukawa na sheria kama hizo?
Kama wanyama kweli wako na haki kwanini sisi tunapanua maisha yetu kwa gharama ya maisha ya wanyama? Wao pia si ni viumbe? Kwanini maisha yao siomuhimu kama yetu? Kama tunashutuliwa kufanya ngono na wanyama kwanini hatushutuki tukiwakula? Hamna usawa kwa hii fikira. Munaleta maadili bandia huku mshaua milioni.
Unatumia lugha mbaya mkuu. Ninawapenda chui wa kike and unicorn.