MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Mitano Tena Magufuli ............ halafu anaweka jina lake hapo mwisho kukamilisha majina manne.Ukitaka jina la mtoto utuambie tukupe!
Kuna jina la "Mitano tena" mpaka sasa halijapata mtu
Au akawa Billionaire aliezaliwa awamu ya tano.Inawezeka huyu akawa ndiye Rais wa miaka hiyooo, mama kijacho apate lishe bora.
Aache kunywa bia sasa, aanze kulea kitumbo.Au akawa Billionaire aliezaliwa awamu ya tano.
Watu wa JF mnajua kukera πππππ yote haya yamesababishwa na serikali ya viwonder.Aache kunywa bia sasa, aanze kulea kitumbo.
umemwaga ndani ?
HahahahahahahaUkitaka jina la mtoto utuambie tukupe!
Kuna jina la "Mitano tena" mpaka sasa halijapata mtu
Acha kumvuta mwenzie arudishe namba harakaharaka kwa Muumba wake ebo...we vipi!? Lione!Njoo pm nikupe namba ya bingwa wa kutoa mimba changa dk 5 nyingi mtu amemaliza kazi na jioni aliyetolewa anaweza hata kukinukisha tena