Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unanifokeaAcha kumvuta mwenzie arudishe namba harakaharaka kwa Muumba wake ebo...we vipi!? Lione!
AhhaAache kunywa bia sasa, aanze kulea kitumbo.
Shukran sana mkuu,Naona wadau wameamua wakushambulie, ni kweli mimba ya tarehe hizo inaweza kabisa kuonesha dalili ila kuhusu kupimwa atleast iwe imeingia kati ya tarehe 4_10 ili kufikia leo iwe imekamilisha wiki 2(siku 14) ambazo kwa kipimo cha UPT inaweza kuonekana,
Kuongezea tu, jina la "Mitano tena" liko poa unaweza kuanza kuliwazia, na karibu katika ulimwengu wa kuitwa baba ingawa unaweza kuwa baba wa bandia pia
1000/-Nunua kipimo cha mimba famasi kinauzwa bei ndogo tu haifiki 2,000. majibu ni hapo hapo hakuna kurusha jiwe gizani sasa hivi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tayari kashaharibu ajiandae tu kuitwa baba.umemwaga ndani ?
Ndio inaweza because wanawakee wanatofautiana Ila hata mimba ya siku tatuu inaweza kuanza kuonyesha daliliiSwali dogo tu
Eti mimba iliyoingia trh 4 mwezi mpaka trh 18 mwezi huu inawezq kuonesha dalili zozote kama kichefuchefu, kutapika ?
Je ujauzito unaweza kupimwa wakati huu?
Kuna dogo ameniuliza haya maswali sasa hivi , msaidieni.
Natanguliza shukrani.
Huyuuu kala tunda kimasiharaaa...[emoji41][emoji41]Anza kutafuta jina la mtoto na ununue bima bora ya afya
"Chatouh" pia nadhani ni zuriUkitaka jina la mtoto utuambie tukupe!
Kuna jina la "Mitano tena" mpaka sasa halijapata mtu