Swali: Mimba iliyoingia terehe 4-18 inaweza kuonesha dalili zozote?

Swali: Mimba iliyoingia terehe 4-18 inaweza kuonesha dalili zozote?

Naona wadau wameamua wakushambulie, ni kweli mimba ya tarehe hizo inaweza kabisa kuonesha dalili ila kuhusu kupimwa atleast iwe imeingia kati ya tarehe 4_10 ili kufikia leo iwe imekamilisha wiki 2(siku 14) ambazo kwa kipimo cha UPT inaweza kuonekana,

Kuongezea tu, jina la "Mitano tena" liko poa unaweza kuanza kuliwazia, na karibu katika ulimwengu wa kuitwa baba ingawa unaweza kuwa baba wa bandia pia
Shukran sana mkuu,
 
Siku tano tu, anaanza kula kula vindimu ndimu na udongo 😂😂
 
Na jinsi pampasi zilivyopanda bei..kazi unayo asee.
 
Swali dogo tu
Eti mimba iliyoingia trh 4 mwezi mpaka trh 18 mwezi huu inawezq kuonesha dalili zozote kama kichefuchefu, kutapika ?
Je ujauzito unaweza kupimwa wakati huu?
Kuna dogo ameniuliza haya maswali sasa hivi , msaidieni.
Natanguliza shukrani.
Ndio inaweza because wanawakee wanatofautiana Ila hata mimba ya siku tatuu inaweza kuanza kuonyesha dalilii
 
Hongereni sana wazazi watarajiwa, na mimi natilia mkazo kwenye jina la "Mitano Tena"
Limekaa poa sana aiseeee.
 
Back
Top Bottom