Swali muhimu: Anayefanya Uteuzi ni Rais Samia au Idara ya Usalama wa Taifa?

Swali muhimu: Anayefanya Uteuzi ni Rais Samia au Idara ya Usalama wa Taifa?

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Naona kila kona sasa hivi ni juu ya mafyongo ya teuzi.

Nakumbuka enzi za hayati Julius (Mwl) mtu alikuwa akipata taarifa za teuzi zake kupitia RTD na unakuta mtu yupo baa, nyumbani au kilabu cha Pombe ndio saa mbili usiku anasikia kuteuliwa kwake.

Ila nasikia enzi hizo ni idara ilikuwa kifanya pembuzi yakinifu juu ya nani anafaa kuwa kiongozi.

Enzi za hayati Mwinyi? Hayati Mkapa? Enzi za Jakaya (vimemo).

Sasa hivi kipindi cha Mama? Eti hadi marehemu anateuliwa? Idara haipembui mchele.😄🙄😁😅

====

Pia soma:
- Nani hufanya vetting pindi Rais akihitaji kupata kiongozi?
- Jenerali Ulimwengu: Siyo kila anayetangazwa kateuliwa na Rais, wengine ni Wateule wa "Influencers" Rais anaweka saini tu!
 
Ni yeyote pale Ikulu atakayeamua kufanya uteuzi, hata mzee baba wa Taifa anaweza kuweka mtu wake.
 
KUTENGULIWA ZUHURA YUNUSI +LUPA KUTEULIWA KWA MAKUSUDI + GODLISEN MALISA KUKAMATWA LENGO NI KUPOTEZA AJENDA YA KOREA KUSINI TURUDI TUJADILI RASILIMALI


•••
Matulanya Mputa

Kama kichwa kinavyojieleza TISS kitengo cha propaganda mumeweza cheza na kuamisha mawazo ya watanzania hongera sana kwa huo mkakati, ambao leo wote wanaenda upepo unakovuma, pumzika kwa amani MILTONI LUPA na pia nakutakia majukumu mema dada angu ZUHURA YUNUSI na pia kaka angu MALISA G.,Allah akufanyie wepesi upone haraka na utakuwa huru soon.
 
Naona kila kona sasa hivi ni juu ya mafyongo ya teuzi.

Nakumbuka enzi za hayati Julius (Mwl) mtu alikuwa akipata taarifa za teuzi zake kupitia RTD na unakuta mtu yupo baa, nyumbani au kilabu cha Pombe ndio saa mbili usiku anasikia kuteuliwa kwake.

Ila nasikia enzi hizo ni idara ilikuwa kifanya pembuzi yakinifu juu ya nani anafaa kuwa kiongozi.

Enzi za hayati Mwinyi? Hayati Mkapa? Enzi za Jakaya (vimemo).

Sasa hivi kipindi cha Mama? Eti hadi marehemu anateuliwa? Idara haipembui mchele.😄🙄😁😅
Marehemu yupi ameteuliwa?
 
Naona kila kona sasa hivi ni juu ya mafyongo ya teuzi.

Nakumbuka enzi za hayati Julius (Mwl) mtu alikuwa akipata taarifa za teuzi zake kupitia RTD na unakuta mtu yupo baa, nyumbani au kilabu cha Pombe ndio saa mbili usiku anasikia kuteuliwa kwake.

Ila nasikia enzi hizo ni idara ilikuwa kifanya pembuzi yakinifu juu ya nani anafaa kuwa kiongozi.

Enzi za hayati Mwinyi? Hayati Mkapa? Enzi za Jakaya (vimemo).

Sasa hivi kipindi cha Mama? Eti hadi marehemu anateuliwa? Idara haipembui mchele.😄🙄😁😅

====

Pia soma:
- Nani hufanya vetting pindi Rais akihitaji kupata kiongozi?
- Jenerali Ulimwengu: Siyo kila anayetangazwa kateuliwa na Rais, wengine ni Wateule wa "Influencers" Rais anaweka saini tu!
Ni hivii.

Rais anateua na kutengua kwa kusaidiwa kufanya uhakiki na taasisi zote za serikali.

Lakini, taasisi si zinazofanya uteuzi, uteuzi unafanywa na rais, taasisi zinasaidia kushauri na kuhakiki tu. Na rais halazimiki kukubali ushauri wa taasisi. Na wananchi hata hawajui taasisi zinashauri nini, kwa sababu ushauri wa taasisi kwa rais ni siri.

Kwa hiyo, taasisi zinatakiwa kutoa ushauri, rais anafanya uamuzi. Na rais anatakiwa kuwa na njia zake za kuhakiki ushauri wa taasisi.

Nitakupa mfano mmoja kutoka vitabu vya Issa Shivji na wenzake "Julius Nyerere : Development as Rebellion", kuna wakati washauri wa Rais Nyerere wa uchumi walimshauri kutaifisha maduka yote madogo, yawe ya serikali, kwenye mfumo wa Ujamaa.

Hao walikuwa washauri rasmi, wasomi, wachumi.

Rais Nyerere alivyoupata ushauri ule, hakuutekeleza mara moja. Aliuchukua na kuuchuja kwa chujio lingine. Alimuita Mzee mmoja wa CCM alikuwa anaitwa Tabu Mangala. Mzee Tabu Mangala hakuwa msomi, hakuwa mchumi, hakuwa mshauri rasmi wa rais. Mzee Tabu Mangala alikuwa mzee wa chama tu aliyejulikana na kuheshimika nchini (alipata kuongoza Yanga). Nyerere akamuuliza Mzee Tabu Mangala, nimeshauriwa na wachumi wangu nitaifishe maduka madogo haya ya mtaani, hilo jambo unalionaje? Mzee Tabu Mangala akamwambia Nyerere chonde chonde baba usifanye hivyo, utatuadhiri mtaani, haya maduka tuachie wenyewe Waseahili huko mitaani tunajua kwenda nayo.

Nyerere akamsikiliza Mzee Tabu Mangala, akaacha ushauri wa wachumi.

Angefuata ushauri wa wachumi, wakati ushauri ni mbaya, lawama za mwisho zingekuwa ni zake rais, si za washauri. Kwa sababu hata yeye alitakiwa kuuhakiki ushauri.

The buck stops with the president.

Washauri wana lawama, lakini rais ndiye mwenye lawama za mwisho, kubwa kushinda za wote.
 
Naona kila kona sasa hivi ni juu ya mafyongo ya teuzi.

Nakumbuka enzi za hayati Julius (Mwl) mtu alikuwa akipata taarifa za teuzi zake kupitia RTD na unakuta mtu yupo baa, nyumbani au kilabu cha Pombe ndio saa mbili usiku anasikia kuteuliwa kwake.

Ila nasikia enzi hizo ni idara ilikuwa kifanya pembuzi yakinifu juu ya nani anafaa kuwa kiongozi.

Enzi za hayati Mwinyi? Hayati Mkapa? Enzi za Jakaya (vimemo).

Sasa hivi kipindi cha Mama? Eti hadi marehemu anateuliwa? Idara haipembui mchele.😄🙄😁😅

====

Pia soma:
- Nani hufanya vetting pindi Rais akihitaji kupata kiongozi?
- Jenerali Ulimwengu: Siyo kila anayetangazwa kateuliwa na Rais, wengine ni Wateule wa "Influencers" Rais anaweka saini tu!
Idara imejaa UVCCM tupu hakuna lolote
 
Back
Top Bottom