Nimeguswa kuuliza swali hili.
Ikiwa kuna mgonjwa ambaye anasumbuliwa na saratani, TB, kisukari, kiharusi, tatizo la moyo na mengine yote yanayoua kirahisi na kwa haraka. Hali yake kwa ujumla ni ya mashaka muda wote. Mtu huyu akapata virusi vya korona akafa.
Swali la kwanza: Mtu huyu atakuwa kafariki kwa ugonjwa gani?
Swali la Pili: Ikiwa watu wengi wamepimwa na kukutwa na ugonjwa wa corona, na watu hawa hawakuwa na ugonjwa wowote mwingine. Watu hawa hawajatumia dawa yoyote na wamepona mwenyewe baada ya wiki.
Je, ni kweli ugonjwa huu ni tishio kiasi cha kuwekwa kuwa ni janga la dunia?
Swali la tatu: Ni kwanini dunia haisemi ukweli watu wanakufa kwa magonjwa gani?
Swali la nne: Je, unajua ni hofu kiasi gani ingejengwa ikiwa kila siku tungekuwa tunatangaziwa idadi ya wagongwa wanaokufa kwa magonjwa mbalimbali?
Ushauri: Serikali yetu ya Tanzania isifanye kosa la kutangaza vifo vya wagonjwa wa korona ikiwa mgonjwa huyo ana matatizo makubwa mengine ya kiafya yanayofahamika muda mrefu. Maana mtu huyo atakuwa amekufa kwa magonjwa mengine na siyo korona. Yaani magonjwa mengine yatakuwa yamechangia 90% huku corona ikiwa na 10% au chini ya hapo. Hivyo si sahihi kusema 10% imesababisha kifo wakati ipo 90% yenye madhara makubwa na imekuwepo muda. Kwa maana hiyo huyu mtu angekufa tu any time soon.
Lakini ikiwa mgonjwa hakuwa na historia yoyote ya ugonjwa unaofahamika na akakutwa na ugonjwa huu bahati mbaya kafariki. Basi ni sawa kusema kafariki kwa ugonjwa huu.
Tusiingie katika mkumbo huu.
Ikiwa kuna mgonjwa ambaye anasumbuliwa na saratani, TB, kisukari, kiharusi, tatizo la moyo na mengine yote yanayoua kirahisi na kwa haraka. Hali yake kwa ujumla ni ya mashaka muda wote. Mtu huyu akapata virusi vya korona akafa.
Swali la kwanza: Mtu huyu atakuwa kafariki kwa ugonjwa gani?
Swali la Pili: Ikiwa watu wengi wamepimwa na kukutwa na ugonjwa wa corona, na watu hawa hawakuwa na ugonjwa wowote mwingine. Watu hawa hawajatumia dawa yoyote na wamepona mwenyewe baada ya wiki.
Je, ni kweli ugonjwa huu ni tishio kiasi cha kuwekwa kuwa ni janga la dunia?
Swali la tatu: Ni kwanini dunia haisemi ukweli watu wanakufa kwa magonjwa gani?
Swali la nne: Je, unajua ni hofu kiasi gani ingejengwa ikiwa kila siku tungekuwa tunatangaziwa idadi ya wagongwa wanaokufa kwa magonjwa mbalimbali?
Ushauri: Serikali yetu ya Tanzania isifanye kosa la kutangaza vifo vya wagonjwa wa korona ikiwa mgonjwa huyo ana matatizo makubwa mengine ya kiafya yanayofahamika muda mrefu. Maana mtu huyo atakuwa amekufa kwa magonjwa mengine na siyo korona. Yaani magonjwa mengine yatakuwa yamechangia 90% huku corona ikiwa na 10% au chini ya hapo. Hivyo si sahihi kusema 10% imesababisha kifo wakati ipo 90% yenye madhara makubwa na imekuwepo muda. Kwa maana hiyo huyu mtu angekufa tu any time soon.
Lakini ikiwa mgonjwa hakuwa na historia yoyote ya ugonjwa unaofahamika na akakutwa na ugonjwa huu bahati mbaya kafariki. Basi ni sawa kusema kafariki kwa ugonjwa huu.
Tusiingie katika mkumbo huu.