Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Dah ila ww😅😅😅
Huyu ni mwali au mwali amelala hapo
UweeeeeHahahaha Haupoi Wala hauoboii.... nakufananisha na dada yuniki flawa😅😅😅😅
Afya ya akili pro maxDah ila ww😅😅😅
Kwakweli 🤣Afya ya akili pro max
uweeeeeeeeeeeeewale wali wa liwali wale wali wao
maumbileSasa mbona wengine ziwa tepetepe na unakuta hakajaguswa?
yeah, sure. nilipitiwa nikasahau hilo la maumbile.maumbile
YAPyeah, sure. nilipitiwa nikasahau hilo la maumbile.
"Mwali" au kiushaihi zaidi "mwari" ni nembo tu ya kujulisha binti tayari kishaingia balehe Haiwahusu wanaume.Mwali ni msichana ambae hajaguswa
Ukimpiga ziwa lake ni gumu kama skonsi
Huyo ndio mwali wa kike
Mwali wa kiume ni nani?
Mwali wa kiume ni mwanaume ambae bado hajaguswa
Hata ukimwuliza gololi zako zinaoshwa na mchanga, maji, maziwa au maji ya ndimu, atakujibu ndio nini!
Kwako wewe tujuze mwali ni nani?View attachment 3065865
Hapa umezinguaMwali wa kiume ni nani?
Mwali wa kiume ni mwanaume ambae bado hajaguswa
asante kwa taarifa"Mwali" au kiushaihi zaidi "mwari" ni nembo tu ya kujulisha binti tayari kishaingia balehe Haiwahusu wanaume.
Wanaume waliokwisha balehe wanaitwa "barobaro" Kiswahili.
labda kwenye familia yenu ila huku kwingine ni kama nilivyoandikaHapa umezingua
Hajaguswa❎
amegusa (amechovya)✅
Mmmh kuguswa ? 🤔Sasa nikushangae tulabda kwenye familia yenu ila huku kwingine ni kama nilivyoandika