NKUU SINDE KWETU
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 830
- 91
Wana JF!
CDM karibia kila mkoa wana kesi na matatizo kwenye mahakama na polisi Tanzania.
Tanzania siasa za vyama vingi imeanza toka 1992, mbona ni wao tu wana kesi,vurugu na matatizo hapa Tanzania.??
Hizo pesa mlizopewa kuvuruga Amani muwe nazo makini!
Swali; Je wanachadema wote mna passport??
NKUU SINDE!
Mkuu Ngendalikoma,hivi hapo Kigoma hawakumfungulia kesi Peter Serukamba kweli??hebu tafuta taarifa za uhakika kuhusu hilo