Swali: Nioe au niolewe wapi?

Swali: Nioe au niolewe wapi?

Mkuu, upo sawa kwa 80%.

1: Ni kweli kabisa ndoa haiunganishwi kwa upendo, maana kuna kipindi upendo hua unaisha.
2: Intermarriage ndo chanzo cha mmomonyoko wa maadili katika jamii.

But Mungu aliposema kwenu hakumaanisha makabila kama ulivyosema katika uzi wako, ulijaribu vizuri kuelezea lakini baadae ukatoka tena nje, "kwenu" iliyomaanisha pale ni watu wanaomwabudu Mungu mmoja huyo aliwapa hilo agizo.

Hi ni dhahiri kabisa maana hata huyo Mungu uliesema alisena uoe/kuolewa na watu wa kwenu ni Mungu wa Israel, na Israel ina makabila 12, so inakuaje?

Kwa kua swala la ndo ni la kirooho zaidi na ndo taasisi kubwa katika jamii Mungu alitaka watu wake waone wao kwa wao ili kutochangamana na roho za miungu mingine.
 
We jamaa unaongea ukweli mtupu binafsi hata demu awe mkali vip kama hatokei ukanda wa Pwani hawezi nivutia kwisha habar!!
 
Mtibeli naunga mkono hoja, madini mazuri sana Kwa vijana. Hila Kuna baadhi ya Makabila Yana upungufu wa wanaume hivyo wakipata wanaume wa Makabila mengine wanaganda kama Ruba. Hila nalo tukalitazame
 
Mkuu, upo sawa kwa 80%.

1: Ni kweli kabisa ndoa haiunganishwi kwa upendo, maana kuna kipindi upendo hua unaisha.
2: Intermarriage ndo chanzo cha mmomonyoko wa maadili katika jamii.

But Mungu aliposema kwenu hakumaanisha makabila kama ulivyosema katika uzi wako, ulijaribu vizuri kuelezea lakini baadae ukatoka tena nje, "kwenu" iliyomaanisha pale ni watu wanaomwabudu Mungu mmoja huyo aliwapa hilo agizo.

Hi ni dhahiri kabisa maana hata huyo Mungu uliesema alisena uoe/kuolewa na watu wa kwenu ni Mungu wa Israel, na Israel ina makabila 12, so inakuaje?

Kwa kua swala la ndo ni la kirooho zaidi na ndo taasisi kubwa katika jamii Mungu alitaka watu wake waone wao kwa wao ili kutochangamana na roho za miungu mingine.
Yakobo alitumikia Kwa Laban mjomba yake Ili apate kuoa hapo. Waarabu ndo tamaduni zao. Dini zipo lakini Mkuu amejaribu kuongelea Mila na desturi hizi ndo nguzo za ndoa
 
Back
Top Bottom