Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Takataka tuuu ninyiRC Makonda anasimamia ilani ya CCM juu ya utekelezaji wa sera ya michezo. Ametimba Cairo kuhakikisha anarudi na majawabu ya kuwapa wananchi pindi watakapohoji kunako 2020.
Amunike yeye anatimiza majukumu yake ya kimkataba na amewatumia salamu wale waliohoji uwezo wake na kumwita dalali.
Binafsi naona wote wawili pamoja na wachezaji wanastahili pongezi.
Wewe je?
Maendeleo hayana vyama!
RC Makonda anasimamia ilani ya CCM juu ya utekelezaji wa sera ya michezo. Ametimba Cairo kuhakikisha anarudi na majawabu ya kuwapa wananchi pindi watakapohoji kunako 2020.
Amunike yeye anatimiza majukumu yake ya kimkataba na amewatumia salamu wale waliohoji uwezo wake na kumwita dalali.
Binafsi naona wote wawili pamoja na wachezaji wanastahili pongezi.
Wewe je?
Maendeleo hayana vyama!
Timu ya ccmYako wapi sasa. Ccm mmeichukua Taifa stars kisiasa na watanzania walishaisusa zamani sana. Shame on you!
kumbe ninyi ndiyo maboi wa Bashite aliowasema Ndugai.RC Makonda anasimamia ilani ya CCM juu ya utekelezaji wa sera ya michezo. Ametimba Cairo kuhakikisha anarudi na majawabu ya kuwapa wananchi pindi watakapohoji kunako 2020.
Amunike yeye anatimiza majukumu yake ya kimkataba na amewatumia salamu wale waliohoji uwezo wake na kumwita dalali.
Binafsi naona wote wawili pamoja na wachezaji wanastahili pongezi.
Wewe je?
Maendeleo hayana vyama!
Good!RC Makonda anasimamia ilani ya CCM juu ya utekelezaji wa sera ya michezo. Ametimba Cairo kuhakikisha anarudi na majawabu ya kuwapa wananchi pindi watakapohoji kunako 2020.
Amunike yeye anatimiza majukumu yake ya kimkataba na amewatumia salamu wale waliohoji uwezo wake na kumwita dalali.
Binafsi naona wote wawili pamoja na wachezaji wanastahili pongezi.
Wewe je?
Maendeleo hayana vyama!
Hivi naye pia ni muheshimiwa?Zimuendee mh. Sana Makonda.
Wote kwa pamoja kuanzia 'Team Ushindi' ya RC Makonda, Amunike et all na Wachezaji wote.congratulations, wamekufa kiume, ni vidosari vidogo tu vya kurekebisha.we are bocoming better kila siku.RC Makonda anasimamia ilani ya CCM juu ya utekelezaji wa sera ya michezo. Ametimba Cairo kuhakikisha anarudi na majawabu ya kuwapa wananchi pindi watakapohoji kunako 2020.
Amunike yeye anatimiza majukumu yake ya kimkataba na amewatumia salamu wale waliohoji uwezo wake na kumwita dalali.
Binafsi naona wote wawili pamoja na wachezaji wanastahili pongezi.
Wewe je?
Maendeleo hayana vyama!