Swali pevu: Je sifa zimuendee RC Makonda au Kocha Amunike kwa mabadiliko tuliyoyashuhudia.

Takataka tuuu ninyi
 
Pongezi ya kufungwa 3-2? Goli 2 kipindi cha pili!? 😳😳😳😳

 
kumbe ninyi ndiyo maboi wa Bashite aliowasema Ndugai.

FT
SISI HAPA 3-2 BASHITE
 
Good!
Tunawapongeza kwa kufungwa.
ilani haitekelezeki.
 
Wote kwa pamoja kuanzia 'Team Ushindi' ya RC Makonda, Amunike et all na Wachezaji wote.congratulations, wamekufa kiume, ni vidosari vidogo tu vya kurekebisha.we are bocoming better kila siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…