SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Kiherehere hicho.RC Makonda anasimamia ilani ya CCM juu ya utekelezaji wa sera ya michezo. Ametimba Cairo kuhakikisha anarudi na majawabu ya kuwapa wananchi pindi watakapohoji kunako 2020.
Amunike yeye anatimiza majukumu yake ya kimkataba na amewatumia salamu wale waliohoji uwezo wake na kumwita dalali.
Binafsi naona wote wawili pamoja na wachezaji wanastahili pongezi.
Wewe je?
Maendeleo hayana vyama!
Hawa vinyankera wanaudhi sana mkuu. Hata kuongea nao tu itabidi uwe mvumilivu na ujishushe sana kwa sababu they are so empty upstairs. Bora nishinde naongea na mtoto wa chekechea kuliko hawa mbwehaHao si ndio wale vikaragosi praise team ya kusikia hata sauti ya ushuzi wanadai ni trumpet, kisa imetoka kwa bwana wao.
Polepole unlike yo post,hahah.Asee ni kosa kubwa sana tena ni dhambi kuhusisha suala la Kitaifa na uchama!,hivi viongozi wa awamu hii wanamatatizo gani?? Unawezaje kusema Taifa stairs inatekeleza ilan ya chama cha mapinduzi ili hali ukijua ni kuligawa Taifa kwa namna nyingine!!, Wtz tuliwengi tumefurahia pamoja na Wabunge wote naamin wamefurahia sana. mm nikajua aliyeenda misri awamu ya pili atatoa hamasa kuliko hata pierre kumbe ndio kapeleka mkosi tu.
Na ikiwa "mlevi wa taifa" analipiwa ili akalewee ugenini "ati anahamasisha!!!" Tunakula 2 halafu anakwenda Mpendwa wetu tunakula 3 toka timu tunayoudharau..... sasa sijui hiyo mechi ifuatayo anakwenda nani..!!???Kabla ya Bashite tulipigwa 2 ujio wake umesababishwa tupigwe 3