Swali: Rostam Azizi anafanya biashara ya kutoa huduma kwenye bandari. Ni Bandari zipi kwa mnaojua?

Swali: Rostam Azizi anafanya biashara ya kutoa huduma kwenye bandari. Ni Bandari zipi kwa mnaojua?

Misozwe

Member
Joined
Dec 23, 2022
Posts
21
Reaction score
26
Kwenye ukurasa wa Wikipedia unaotoa wasifu wa Rostam Aziz (Rostam Aziz - Wikipedia) unaonyesha moja ya sehemu za biashara na uwekezaji wake ni kwenye huduma za kibandari (port facilities and service). Kwa wanaojua bandari gani anahudumia naomba tu kujua ili kupata ufahamu.

Sio kwamba nataka kukonect dots, lakini povu alilolitoa Jumatatu kwenye "staged press conference" na kuwashutumu watu kwa ushabiki na udini (bila proof) inanipa ukakasi kiasi. Isije kuwa kuna lililojificha nyuma yake.

Sio kwa ubaya though, ni kwa maslahi mapana ya nchi. Wenye kujua watupe ufahamu tafadhali.

RAB.png
 
Rostam kuzungumza vile ilikuwa ni wazi kabisa, ana interest zake somewhere anazitetea, mfanyabiashara akishajiunganisha na wanasiasa siku zote anakuwa mtu mbaya sana, hasa wanasiasa wasiojitambua kama hawa wa kwetu.
 
View attachment 2666291

Kwenye ukurasa wa Wikipedia unaotoa wasifu wa Rostam Aziz (Rostam Aziz - Wikipedia) unaonyesha moja ya sehemu za biashara na uwekezaji wake ni kwenye huduma za kibandari (port facilities and service). Kwa wanaojua bandari gani anahudumia naomba tu kujua ili kupata ufahamu.

Sio kwamba nataka kukonect dots, lakini povu alilolitoa Jumatatu kwenye "staged press conference" na kuwashutumu watu kwa ushabiki na udini (bila proof) inanipa ukakasi kiasi. Isije kuwa kuna lililojificha nyuma yake.

Sio kwa ubaya though, ni kwa maslahi mapana ya nchi. Wenye kujua watupe ufahamu tafadhali.

View attachment 2666302
Kwa hiyo unataka wenye akili tuje tujadili chanzo cha taarifa cha wikipedia?

Chizi kabisa wewe
 
Kwa hiyo unataka wenye akili tuje tujadili chanzo cha taarifa cha wikipedia?

Chizi kabisa wewe
Wewe mwenye akili una chanzo gani?

Wikipedia kuandika walichoandika sio wajinga, wewe ndie zezeta usiyejitambua hapa.

Zezeta hujiulizi kwanini wasiandike "huduma za anga" wakaandika "huduma za bandari", halafu uunganishe na sakata la waarabu wa bandarini kwa sasa?!
 
View attachment 2666291

Kwenye ukurasa wa Wikipedia unaotoa wasifu wa Rostam Aziz (Rostam Aziz - Wikipedia) unaonyesha moja ya sehemu za biashara na uwekezaji wake ni kwenye huduma za kibandari (port facilities and service). Kwa wanaojua bandari gani anahudumia naomba tu kujua ili kupata ufahamu.

Sio kwamba nataka kukonect dots, lakini povu alilolitoa Jumatatu kwenye "staged press conference" na kuwashutumu watu kwa ushabiki na udini (bila proof) inanipa ukakasi kiasi. Isije kuwa kuna lililojificha nyuma yake.

Sio kwa ubaya though, ni kwa maslahi mapana ya nchi. Wenye kujua watupe ufahamu tafadhali.

View attachment 2666302
Endelea kusearch unaweza kuzijua hizo bandari kama hakusingiziwa. Maana Wikipedia nao hawaeleweki!!!
 
View attachment 2666291

Kwenye ukurasa wa Wikipedia unaotoa wasifu wa Rostam Aziz (Rostam Aziz - Wikipedia) unaonyesha moja ya sehemu za biashara na uwekezaji wake ni kwenye huduma za kibandari (port facilities and service). Kwa wanaojua bandari gani anahudumia naomba tu kujua ili kupata ufahamu.

Sio kwamba nataka kukonect dots, lakini povu alilolitoa Jumatatu kwenye "staged press conference" na kuwashutumu watu kwa ushabiki na udini (bila proof) inanipa ukakasi kiasi. Isije kuwa kuna lililojificha nyuma yake.

Sio kwa ubaya though, ni kwa maslahi mapana ya nchi. Wenye kujua watupe ufahamu tafadhali.

View attachment 2666302
Hata hili jina la Taifa Group kwa undani asili yake inaweza kuwa
Usalama wa ...... = Taifa Group
 
Huyo ndio mfadhili mkuu wa Roho Tour, hivyo kwasasa anajilipa!.
Siunamuona zama hizi anaonekana onekana, hata kule Marekani wakati wa Roho Tour kuna mkataba alimwaga wino...usiniulize unahusu nn!!.
 
Kwa hiyo unataka wenye akili tuje tujadili chanzo cha taarifa cha wikipedia?

Chizi kabisa wewe
Du aisee, nilikuwa sijui. Basi hawa Wikipedia watakuwa waongo sana. Ina maana walivyoandika Rostam ana hisa Vodacom, anamiliki kampuni ya Caspian, anamilii kampuni ya Tigo, anamiliki kampuni ya Taifa Gas wamesema uongo. Basi sawa.
 
Back
Top Bottom