Kipanga boy
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,409
- 1,219
- Thread starter
- #21
Asante sana mkuu, umenipa jibu zuri, mama amewahi kuniambia jina halifi,Nimesoma woote waliojitahidi.lkn hakuna aliejibu.lkn acha nijaribu wewe ni jina.jina unalotumia ndilo linamiliki viungo vyako vyoote pamoja na roho na nafsi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini vipi sikuwa Mimi kabla ya kutajwa jina?
Sent using Jamii Forums mobile app