Swali; Wallace Karia anaweza kumiliki timu inayoshiriki ligi kuu hapa Tanzania?

Swali limekaa kihisia sana na hasa propaganda zenu za mpira,kwanini ashindwe kumiliki timu kama uwezo huo anao? taasisi zote zinafanya kazi kwa kujitegemea usidhani mamelodi wakifanya kosa hawawezi kuadhiniwa eti kisa mmiliki wake ndio rais wa Caf, tff imejaa mashabiki wa simba na yanga ila mbn timu hizo zikikosea zinaadhibiwa? Weledi weledi weledi over
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…