Sasa nje unatoka wapi tena wakati wakati pako wazi tu.
Wenye ndoa wapo juu, nakuhakikishia hata mwanamke akitongozwa na mtu mwenye mke ni balaa kwa kuimbisha! Anawaza halafu anajijibu mwenyewe, siyo mchezo.[/QUOTE
hata mi huwa nashangaa,aliye kwenye ndoa akitongoza au akitongozwa hakatai,sasa mtihani upo kwa walio nje ya ndoa
mi niko poa sijui wewe,njoo basi toka nje tuingie ndani,teh teh teh
Kumbuka kina cha maji hakipimwi kwa miguu miwili, unajaribu unanasa unapiga 4wheel ngoma inagoma mpaka lije tingatinga ndiyo usaidiwe tehe tehe tehe tehe.hahaaa, mie nataka nijaribu kuingia halafu nitoke nione ladha yake ikoje
Wenye ndoa
Hata kama utajitetea ni wewe tu ni mwaminifu ila kwenye ndoa wengi wanacheat.
Dasa ambao hatujaoa ni zinaa,je waliopo kwenye ndoa?Kukutana kimwili nje ya mipaka ya ndoa huitwa zinaa au uasherati. Mtume Paulo alisema kwamba wale watendao mambo kama hayo hawataurithi ufalme wa Mungu (ona 1Wakor. 6:9-11). Ingawa Mkristo anaweza kujaribiwa na pengine kufikia kuanguka katika tendo la uzinzi au uasherati, atajisikia hatia kubwa sana rohoni mwake, itakayompelekea kutubu.
Lakini kwa sababu ya zinaa, kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe. Mume na ampe mkewe haki yake, na vivyo hivyo mke na ampe mumewe haki yake. Mke hana amri juu ya mwili wake, bali mumewe. Vivyo hivyo, mume hana amari juu ya mwili wake, bali mkewe. Msinyimane isipokuwa mmepatana kwa muda, ili mpate faragha kwa kusali; mkajiane tena, Shetani asije akawajaribu kwa kutokuwa na kiasi kwenu (1Wakor. 7:2-5).
Hallelujah!! mbarikiwe na bwana.
Kumbuka kina cha maji hakipimwi kwa miguu miwili, unajaribu unanasa unapiga 4wheel ngoma inagoma mpaka lije tingatinga ndiyo usaidiwe tehe tehe tehe tehe.