Chauro JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 2,968 Reaction score 1,478 Nov 4, 2011 #61 wenye ndoa wanapendana sana na huwa hawacheat nani kawadanganya!
JICHO LA 3 JF-Expert Member Joined Oct 3, 2011 Posts 356 Reaction score 62 Nov 4, 2011 #62 bombu said: Duh! mie nko nje lakini natamani kutoka, lol Click to expand... Duh.................. SASA SHOST UTATOKAJE KAMA HUJAINGIA?????????
bombu said: Duh! mie nko nje lakini natamani kutoka, lol Click to expand... Duh.................. SASA SHOST UTATOKAJE KAMA HUJAINGIA?????????
JICHO LA 3 JF-Expert Member Joined Oct 3, 2011 Posts 356 Reaction score 62 Nov 4, 2011 #63 Excellent said: mkiwa nje mtamu...mkiingia ndani mchungu..teh teh teh hapo patamu Click to expand... we acha tu kila siku kuulizana maswali tunatimiza lini ndoto za kuishi pamoja
Excellent said: mkiwa nje mtamu...mkiingia ndani mchungu..teh teh teh hapo patamu Click to expand... we acha tu kila siku kuulizana maswali tunatimiza lini ndoto za kuishi pamoja
Viol JF-Expert Member Joined Dec 15, 2009 Posts 25,420 Reaction score 18,298 Nov 4, 2011 Thread starter #64 Chauro said: wenye ndoa wanapendana sana na huwa hawacheat nani kawadanganya! Click to expand... wenye ndoa ndo wanaoongoza,we hujui tu
Chauro said: wenye ndoa wanapendana sana na huwa hawacheat nani kawadanganya! Click to expand... wenye ndoa ndo wanaoongoza,we hujui tu
Viol JF-Expert Member Joined Dec 15, 2009 Posts 25,420 Reaction score 18,298 Nov 4, 2011 Thread starter #65 JICHO LA 3 said: we acha tu kila siku kuulizana maswali tunatimiza lini ndoto za kuishi pamoja Click to expand... dah ila sometimes ukiwa ndani pia kuna raha but ikianza karaha ndo ishu
JICHO LA 3 said: we acha tu kila siku kuulizana maswali tunatimiza lini ndoto za kuishi pamoja Click to expand... dah ila sometimes ukiwa ndani pia kuna raha but ikianza karaha ndo ishu