Swali: Zawadi ya Mawe yasiyoonekana Milele ni Zawadi Gani?

Swali: Zawadi ya Mawe yasiyoonekana Milele ni Zawadi Gani?

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
33,771
Reaction score
41,027
Sijui mimi sijaelewa au tunaambiwa tukubali tuzo hii..kwanini isingekuwa tuzo inayoweza kuonekana na vizazi vijavyo..au watu watakuwa wanapiga mbizi kwenda kuangalia mawe hayo... kujua yakoje? KUNA gharama iliyotumika...mtaambiwa mamilioni ya shilingi yalitumika kuzamisha mawe yasiyoonekana...na hatujui yalipo..

Tukibisha hakuna mawe je?
 
Sijui mimi sijaelewa au tunaambiwa tukubali tuzo hii..kwanini isingekuwa tuzo inayoweza kuonekana na vizazi vijavyo..au watu watakuwa wanapiga mbizi kwenda kuangalia mawe hayo... kujua yakoje? KUNA gharama iliyotumika...mtaambiwa mamilioni ya shilingi yalitumika kuzamisha mawe yasiyoonekana...na hatujui yalipo..tukibisha hakuna mawe je?
Habari za siku Mkuu Mzee Mwenzangu, Mzee Mwanakijiji , long time. Karibu tena JF, we miss you na vitu fikirishi kama hivi, nikaikumbuka enzi zile za ka inzi!.

Kwenye hii issues wengine we are completely in the dark, ungetuwekea angalau kaji background.

Nikuwish A Merry Christmas and Prosperous New Year!.
P
 
Nimejikuta nakumbuka hadithi ya Abdul kwenye vitabu vya Oxford, aliwaambia watu wasio na dhambi watamuona malaika, wenye dhambi hawatamuona lakini kiukweli hapakua na malaika. Cha ajabu wote walioingia kwenye kile chumba wakasema wamemuona malaika.

Mfalme akajaa, akaingia kumi na nane za Abdul, akaambiwa anapewa koti na lenyewe Hali kadhalika ukiwa na dhambi haulioni. Ilikua apigwe vipande vya dhahabu kadhaa sema Mke wake alimnusuru.
 
Fumbo juu ya mafumbo! Kwann kututesa hivi mleta mada?
 
Mimi nadhani kwenye Katiba Mpya ya Wananchi, kuwepo na kipengele cha kutambua michango inayotolewa na watu mbalimbali katika jamii yetu. Na watu hao wapewe tuzo maalum kulingana na mafanikio yao. Na tuzo/nishani hizo ziwekwe katika madaraja hata matatu.

Na kusiwe na huu utaratibu wa kutoa mawe yasiyo onekana! Kuwapa zawadi ya magari Marais wastaafu kwenye kumbukumbu zao za kuzaliwa, nk. Naona hii imekaa kienyeji sana. Maana inategemea na utashi wa mtawala, jambo ambalo siyo sahihi kwa upande wangu.
 
Sijui mimi sijaelewa au tunaambiwa tukubali tuzo hii..kwanini isingekuwa tuzo inayoweza kuonekana na vizazi vijavyo..au watu watakuwa wanapiga mbizi kwenda kuangalia mawe hayo... kujua yakoje? KUNA gharama iliyotumika...mtaambiwa mamilioni ya shilingi yalitumika kuzamisha mawe yasiyoonekana...na hatujui yalipo..

Tukibisha hakuna mawe je?
Mzee Mwanakijiji nadhani ktk ule ulimwengu, ulikuwa kama utabiri fulani. Maana January alisema hapo walipokutania ni shimoni na patajazwa maji na hapataonekana milele. Nikashindwa kuelewa hivi anaelewq maana ya neno milele???? Je ni kujitabiria kuwa waliohudhuria hapo wote watakufa very soon kwa sababu wamefanyia kwenye shimo na uwakilishi wake ni kama kaburini kiasa kwamba symbolically they’re all buried?????? Yaani January hakufahamu namna ya kuchagua maneno. Haya tukija na hayo mawe inamaana gani kusema hayataonekana milele? Pia je kwa nini yalitolewa kwa walio hai kwanza badala ya kufuata kiawamu??? Je kutoa kwanza kwa walio hai ambao kwa mujibu wa baba yake January ni watu wazuri hawatakufa baadaye kutoa hizo zawadi wa waliotangulia kufa kwa sababu walikuwa watu wabaya inamaanisha nini??? Kwa nini wasingetoa kufuata awamu? Nikiangalia kwa jicho la kiroho kuna kitu kimefanyika hapo na matokeo yake yataonekana very soon.
 
Sijui mimi sijaelewa au tunaambiwa tukubali tuzo hii..kwanini isingekuwa tuzo inayoweza kuonekana na vizazi vijavyo..au watu watakuwa wanapiga mbizi kwenda kuangalia mawe hayo... kujua yakoje? KUNA gharama iliyotumika...mtaambiwa mamilioni ya shilingi yalitumika kuzamisha mawe yasiyoonekana...na hatujui yalipo..

Tukibisha hakuna mawe je?
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Mzee Mwanakijiji nadhani ktk ule ulimwengu, ulikuwa kama utabiri fulani. Maana January alisema hapo walipokutania ni shimoni na patajazwa maji na hapataonekana milele. Nikashindwa kuelewa hivi anaelewq maana ya neno milele???? Je ni kujitabiria kuwa waliohudhuria hapo wote watakufa very soon kwa sababu wamefanyia kwenye shimo na uwakilishi wake ni kama kaburini kiasa kwamba symbolically they’re all buried?????? Yaani January hakufahamu namna ya kuchagua maneno. Haya tukija na hayo mawe inamaana gani kusema hayataonekana milele? Pia je kwa nini yalitolewa kwa walio hai kwanza badala ya kufuata kiawamu??? Je kutoa kwanza kwa walio hai ambao kwa mujibu wa baba yake January ni watu wazuri hawatakufa baadaye kutoa hizo zawadi wa waliotangulia kufa kwa sababu walikuwa watu wabaya inamaanisha nini??? Kwa nini wasingetoa kufuata awamu? Nikiangalia kwa jicho la kiroho kuna kitu kimefanyika hapo na matokeo yake yataonekana very soon.
Naona kamuangaza fulani katika analysis yako ndugu..

Many a times our own words are premonitions of our fates. Ila huwa hatujui tu. Ndio zile unasikia marehemu alijua kuwa anakaribia kufa, alisema hiki na hiki.
Anyways time will tell.
 
Mm pia hao wanasiasa wameniacha kwenye mataa. Eti mawe hayo hayataonekana tena duniani. Nimeamini January Makamba ni bonge la msanii
 
Sijui mimi sijaelewa au tunaambiwa tukubali tuzo hii..kwanini isingekuwa tuzo inayoweza kuonekana na vizazi vijavyo..au watu watakuwa wanapiga mbizi kwenda kuangalia mawe hayo... kujua yakoje? KUNA gharama iliyotumika...mtaambiwa mamilioni ya shilingi yalitumika kuzamisha mawe yasiyoonekana...na hatujui yalipo..

Tukibisha hakuna mawe je?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sijui mimi sijaelewa au tunaambiwa tukubali tuzo hii..kwanini isingekuwa tuzo inayoweza kuonekana na vizazi vijavyo..au watu watakuwa wanapiga mbizi kwenda kuangalia mawe hayo... kujua yakoje? KUNA gharama iliyotumika...mtaambiwa mamilioni ya shilingi yalitumika kuzamisha mawe yasiyoonekana...na hatujui yalipo..

Tukibisha hakuna mawe je?
Hiki kisa kinanikumbusha fiksi za mwarabu flani anayeaminiwa na watu billion 2 eti jua linazama kwenye dimbwi la tope jeus na eti ukifa lazima ukamuliwe mavi uingie peponi msafi.
 
Mzee Mwanakijiji nadhani ktk ule ulimwengu, ulikuwa kama utabiri fulani. Maana January alisema hapo walipokutania ni shimoni na patajazwa maji na hapataonekana milele. Nikashindwa kuelewa hivi anaelewq maana ya neno milele???? Je ni kujitabiria kuwa waliohudhuria hapo wote watakufa very soon kwa sababu wamefanyia kwenye shimo na uwakilishi wake ni kama kaburini kiasa kwamba symbolically they’re all buried?????? Yaani January hakufahamu namna ya kuchagua maneno. Haya tukija na hayo mawe inamaana gani kusema hayataonekana milele? Pia je kwa nini yalitolewa kwa walio hai kwanza badala ya kufuata kiawamu??? Je kutoa kwanza kwa walio hai ambao kwa mujibu wa baba yake January ni watu wazuri hawatakufa baadaye kutoa hizo zawadi wa waliotangulia kufa kwa sababu walikuwa watu wabaya inamaanisha nini??? Kwa nini wasingetoa kufuata awamu? Nikiangalia kwa jicho la kiroho kuna kitu kimefanyika hapo na matokeo yake yataonekana very soon.
The fact kwamba umeongea...MATOKEO tayari
 
Mzee🤔🤔🤔
Sijui mimi sijaelewa au tunaambiwa tukubali tuzo hii..kwanini isingekuwa tuzo inayoweza kuonekana na vizazi vijavyo..au watu watakuwa wanapiga mbizi kwenda kuangalia mawe hayo... kujua yakoje? KUNA gharama iliyotumika...mtaambiwa mamilioni ya shilingi yalitumika kuzamisha mawe yasiyoonekana...na hatujui yalipo..

Tukibisha hakuna mawe je?
 
Back
Top Bottom