MWINUKAOSCAR
Member
- Jun 1, 2012
- 40
- 1
Kama mtu amehukumiwa kulipa fedha alizo iba... Kwa muda wa sku 30...je endapo hajafanikiwa kupata hzo fedha...anaweza kwenda kuomba kuongezewa muda tena...na hakimu anaruhusiwa kumpa muda bila mlalamikaji kuwepo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app