Kwa tamaduni ya Waaramaic watu wakiisha kuwa kwenye uchumba wanakuwa katika kipindi cha ubikra, kwa hiyo Mary alikuwa bikra kwa maana ya kuwa katika kipindi cha kusubiria kuolewa na siyo bikra kwa maana ya penetrative sex or whatsoever. Kwa hiyo ieleweke kuwa kwa tamaduni zao mtu kuwa bikra ilikuwa siyo kuwahi kukutana kimwili na opposite sex bali katika kipindi cha uchumba, ndiyo maana kwa Mary kupata ujauzito ilikuwa ni aibu kwa Joseph kwani ilikuwa ni karibu ya yeye kuolewa. Hii ina maana kwamba hata watu waliokuwa wachumba walikuwa ni mabikra. Naona mkanganyiko kuhusu dini na Bible kwa ujumla ni kutokana na kwamba Yesu aliongea kiaramaic, bible ikaandikwa kwa kiebrania ikatafsiriwa kigiriki kisha kirumi/kiingereza/kijerumani na ikaja kwa kiswahili, kwa hiyo uwezekano wa maana kupindishwa kidogo unakuwa mkubwa.